TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

Wakuu natafakari hivi vifo isije ikawa Mwenyezi Mungu ndio anachukua waja wake wema ili tutakaobaki abonyeze button ya kumaliza mchezo.
Ukisikia sehemu kuna mtu wa imani sana ya kidini anaanza kuchonga Safina tushtuane! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Nimepokea taarifa za msiba kwa masikitiko nimemfahamu vema toka nikiwa primary mwanzoni mwa miaka ya 2000's alipokuja kuanza kazi kituo Cha polisi jirani na nyumbani. Alikuwa anapenda Sana watoto nilimzoea alipokuwa anakuja home kupata mawaidha kwa mshua. Ni mpambanaji mzuri alipoajiriwa baadae kidogo alikwenda kusoma ualimu then shahada ya sheria na kwa mda mrefu akawa mwendesha mashtaka wa polisi baadae sikuwahi kumwona Tena hadi juz juz alipokuwa anaghani quraan tukufu. Umeondoka mapema Sana broo nakumbuka enzi hizo ulikuwa na demu mkali Sana anaitwa Abia mzuri haswa mrefu na figa Kama mnyarwanda.
 
Kifo chake kimeacha maswali mengi bila majibu

Lakini tujiulize kwenye utumishi wake hakuna makando kando yoyote aliyofanya marehemu?

Let's say kukiuka miiko ya kazi yake?

Mungu ampe pumziko la amani
Kwamba unatak kusema ameuwawa? Ni ahadi tu imefika..tuamini hivyo.na sidhani kama kuna kibaya kakifanya huko kazini..yeye na mola wake ndo wanajua zaidi
 
Kwa kuongezea tu muulize maaskari wakiwa vitani huwa wanaabudu vipi?akikupatia jibu unitag.
Hajui sheria amekariri tu
Wapi sheria za tanzania zinakataza uhuru wa kuabudu ikiwa mtu kavaa sare za kazini? Hivi unajua chochote kuhusu haki na uhuru wa kuabudu kama unavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Kwa maana hiyo unataka kusema ni marufuku kwa jeshi au askari kusali akiwa kambini au kituoni? Au kuna tofuati gani akifanya ibada zake akiwa na hizo uniform? Kuabudu mtu anaabudu akiwa na vazi lolote lile kwa kadiri imani yake inavyomruhusu na hakuna sheria hata moja inayomzuia mtu kufanya hivyo. Ingekuwa hilo ni kosa kama unavyodhani basi angeshawajibishwa na hao wakubwa lakini badala yake ndo kwanza walimpandisha vyeo.na madaraka juu..Ila Mungu akaona amchukue mapema maana huwenda hivyo vyeo/madaraka visingekuwa na kheri kwake au ndo ingekuwa sababu ya kumuasi mola wake mlezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hapo umenichanganya kidogo.
yaani alikuwa ameshajiunga na upolisi tayar halaf akaenda kusomea ualimu kisha sheria.
Ni ualimu wa aina gani alisomea?
Nimepokea taarifa za msiba kwa masikitiko nimemfahamu vema toka nikiwa primary mwanzoni mwa miaka ya 2000's alipokuja kuanza kazi kituo Cha polisi jirani na nyumbani. Alikuwa anapenda Sana watoto nilimzoea alipokuwa anakuja home kupata mawaidha kwa mshua. Ni mpambanaji mzuri alipoajiriwa baadae kidogo alikwenda kusoma ualimu then shahada ya sheria na kwa mda mrefu akawa mwendesha mashtaka wa polisi baadae sikuwahi kumwona Tena hadi juz juz alipokuwa anaghani quraan tukufu. Umeondoka mapema Sana broo nakumbuka enzi hizo ulikuwa na demu mkali Sana anaitwa Abia mzuri haswa mrefu na figa Kama mnyarwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi sheria za tanzania zinakataza uhuru wa kuabudu ikiwa mtu kavaa sare za kazini? Hivi unajua chochote kuhusu haki na uhuru wa kuabudu kama unavyolindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Kwa maana hiyo unataka kusema ni marufuku kwa jeshi au askari kusali akiwa kambini au kituoni? Au kuna tofuati gani akifanya ibada zake akiwa na hizo uniform? Kuabudu mtu anaabudu akiwa na vazi lolote lile kwa kadiri imani yake inavyomruhusu na hakuna sheria hata moja inayomzuia mtu kufanya hivyo. Ingekuwa hilo ni kosa kama unavyodhani basi angeshawajibishwa na hao wakubwa lakini badala yake ndo kwanza walimpandisha vyeo.na madaraka juu..Ila Mungu akaona amchukue mapema maana huwenda hivyo vyeo/madaraka visingekuwa na kheri kwake au ndo ingekuwa sababu ya kumuasi mola wake mlezi.
Wengi wenye Imani Wana busara umeona mbali Sana,
 
Vifo vyote ni vibaya na vinauma sana lakini vifo vya gafla kama hivyo huuma sana zaidi .

Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi huo mtihani mkubwa familia yake pamoja na wazazi wake!

Mwenyezi Mungu awape subira na faraja tele!

Inauma sana jamani!

Maswali yanaweza kuwa kuwa mengi kuliko majibu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu OCCID sio cheo ila ni nyadhifa inayo maanisha ni MKUU WA UPELELEZI WILAYA....cheo chake ni ASP (Assistance Superipendant of Police)
 
Back
Top Bottom