silas maswe
Member
- Jul 28, 2015
- 96
- 130
Inaonyesha ni jinsi gani Watanzania tusivyojua sheria, hata hilo wameshindwa kuhoji ili hali miiko yake ya kazi haimruhusu kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
alipataje hivyo vyeo ilihali anaonekana hata miiko ya kazi yake hajui,? anawezaje kupractice mambo ya dini yake huku akiwa ndani ya sare za jeshi la polisi?
Sent using Jamii Forums mobile app