TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

TANZIA Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed akutwa hotelini akiwa ameaga dunia

Huyu alikuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya(OC-CID)?? Alipitia Chuo cha Awali cha Polisi('Police Academy')? Alipitia Chuo cha Masomo ya Uongozi? Alijua miiko ya uvaaji wa Sare za Jeshi la Polisi? Idara ya Upelelezi iliruhusu au kubariki shughuli zake mitandaoni? Maswali ni mengi.. RIP.
OCCID wa nyakati hizi
 
Back
Top Bottom