wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Mungu ailaze pahali pema roho ya marehemu.Amen.Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe Masoud Mohamed amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya hoteli.
Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran.
Taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi zitakujia.
View attachment 1443731