wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Alikuwa na hofu ya Mungu sana na vile vile mtu wa imaan sanaR.I.P
Natumai hukuwaonea watu wala kuwapiga wapinzani wa awamu ya 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na hofu ya Mungu sana na vile vile mtu wa imaan sanaR.I.P
Natumai hukuwaonea watu wala kuwapiga wapinzani wa awamu ya 5
yap.,OCD
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inshaallah!! Mungu atamlipa kadiri ya matendo yake,aminAlikuwa na hofu ya mungu sana na vile vile mtu wa imaan sana
Vous parlez français ?Innalilah wainna ilaih rajiuna.
Hakuna askari mtenda hakiNasikia jamaa ni moja ya askari ambao hawakuwa na nongwa kabisa, watenda haki!
Huyo huyo dahHuyu aliepostiwa na Kigwangala majuzi
Amefanya self isolation siyo ?Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya hoteli.
Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran.
Taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi zitakujia.
Yaani siwapend polisi ila huyu kaniuma jamnkaka kaniuma huyu jamani..
Mh... Ukanda wa ziwani!Duh ukanda wa ziwani kamanda kamaliza mwendo, alale pema,amen
Nawewe pia rekebishaSio OCD ni OC CID / mpelelezi mkuu acheni kupotosha OCD na OC CID ni vitu viwili tofauti OCD(Order Commanding of District) OC CID(order commanding Criminal Invesitigation Department)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe pia rekebisha
OC CID - Officer Commanding Criminal Investigation Department
"رمضان كريم وصوم مقبول"