Mkuu wa W.H.O asema ikiwa UN haiwezi kusitisha maafa ya Gaza kuna umuhimu gani wa kuwepo kwake

Maskini wapalestina.Wanaonewa huruma kwa maneno ya kiume na mkuu wa WHO lakini ndugu zao na majirani zao wanakula pila buheri.
Kafiri anawaonea huruma waislam huku waarabu wakila tende na Sharubati wametulia
 
Allah hana uwezo katika hili.Mayahudi wanatuma.ujumbe kwa maarabu na maswahiba wao,HATUJARIBIWI!
 
Nilijua mkuu wa WHO ni Dr. Tedros. Huyo mwingine ni nani?
 
Duh! Israel shikilia hapohapo!
Bila shaka umeminya penyewe ndio maana kelele inasikika, na haramu sasa kwao imekuwa halal.
 
Tedros Adhanom Ghebreyesus ndio GD wa WHO,wewe ostadhi acha upotoshaji.
 
United Nations Interim Force in Lebanon (UNIFL). Hiki ni kikosi maalum cha UN, kipo nchini Lebanon kwa ajili kulinda amani na kusimamia makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbolla.
Pamoja na uwepo wa kikosi hicho, lakini Hezbollah imekuwa mara kadhaa ikirusha Makombola kwenda Israel, Je umewahi kusikia kauli yoyote ya UN kuilaani au kuitaka Hezbollah iache harakati zake hizo?

Hassan Nasrallah, huyu ni General Secretary wa Hezbollah. Baada ya ile vita ya 2006 aliwahi kusema laiti kama angejua kuwa Israel ingejibu kwa nguvu kiaso kile kamwe asingeanzisha uchokozi ule...ingawa bado baadaye aliendeleza uchokozi japo kwa kiwango kidogo sana.

Wakati wanaoipinga Israel na hao UN wenu wakijifanya kuilaani Israel, lakini wanajipiga upofu pale Israel anapochokozwa.
Wakati wengine wakitafuta namna ya kusitisha mapigano, chombo hiki cha habari kimekuwa busy kuuchochea mgogoro huo na hakuna anaye wanyooshea kidole.

Wanakuja hadi na Analsis zao ambazo ukiangalia hazina jingine zaidi ya kuhamasisha na kuchochea mapigano huku wakisambaza chuki na kuujaza ujinga upande ambao wamechagua kuunga mkono.

Suluhu la huu mgogoro ni hadi siku ambayo Wapalestina watakapojifunza na kuanza kuwapenda watoto wao, wake zao na mama zao. Huo ndiyo ukweli ulio uchi ambao dunia inaogopa kuusema.

 

Attachments

  • Screenshot_20231119-202344_Chrome.jpg
    215.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20231119-202246_Chrome.jpg
    176.6 KB · Views: 1
Nenda gaza kibaba hacha kulia lia kwenye keyboard............pale sudani wajomba zako wanaendelea kufa tu..........haya na watanzania mpaka kuuliwa na hamas kosa Lao lipi jibu sasa hivi
 
UN ni mbwa wa marekani, anafanya kile USA anataka

Anaekupa hela nyingi ndo boss wako, ukitaka UN asiwe kibaraka wa US achangie zaidi kwenye mfuko wa UN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…