Mkuu wa W.H.O asema ikiwa UN haiwezi kusitisha maafa ya Gaza kuna umuhimu gani wa kuwepo kwake

Mkuu wa W.H.O asema ikiwa UN haiwezi kusitisha maafa ya Gaza kuna umuhimu gani wa kuwepo kwake

Waendelee kurudisha mapigo na Akili zao visoda. Waisrael wapate sababu ya kuimega palestina.Wapalestina wasipoamua kutumia akili sawasawa. Itakula kwao kila Mara. Ile idadi ambayo wapalestina wanoua Israel unaizidisha Mara kumi wakilipiza na ndicho kinachoendelea Sasa.
Akili gani mzee watumie Wapalestina? Unajua mwaka 1993 aliekuwa Waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin aliiongoza Israel kuingia makubaliano ya amani kati yake na Palestina? Unafahamu mkataba wa kwanza kwa jina la Oslo ulisainiwa mwaka 1993 ila Wazayuni wengi hawakuoendezwa na hali hiyo?

Basi mwaka 1995 Yitzhak Rabin aliuawa akiwa madarakani kwa kupigwa risasi cos Wazayuni waliona wamesalitiwa na Waziri Mkuu.

Embu niambie wewe mbongo mwenye akili unawashauli watumie akili gani?
 
Martin Gifhin mkuu wa shirika la afya duniani amesema ikiwa umoja wa mataifa umeshindwa kuizuia Israel isiendelee kuua watu wasio na hatia Gaza basi hakuna haja ya kuwepo umoja huo.

Maelezo hayo ameyatoa leo na kunukuliwa na vyombo vya habari kikiwemo aljazeera baada ya kupokea taarifa ya idadi kubwa ya wagonjwa kufariki kwenye hospitali mbali mbai za Gaza baada ya kukatiwa huduma zote za kihospitali ikiwemo umeme,maji na chakula pamoja na madawa.

Mapema akitoa taarifa yake leo,meneja wa hospitali ya alshifaa amesema wagonjwa wote 22 kwenye vyumba vya mahututi wamekufa kutokana na kukosa huduma na hewa ya oxygen.

Hayo yakitokea Gaza hospitali nyengine zimeendelea kuvamiwa kule ukanda wa magharibi sambamba na mashambulizi ya kijeshi kwenye kambi kadhaa za wakimbizi kwani idadi kubwa ya wapalestina wa maeneo hayo wanaishi kwenye kambi za wakimbizi kama vile Jenin na Tulkarem.
Kuwaonea huruma magaidi ni kukumbatia ugaidi. Wamalize kaskazini, kazi iendelee kusini.
 
Akili gani mzee watumie Wapalestina? Unajua mwaka 1993 aliekuwa Waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin aliiongoza Israel kuingia makubaliano ya amani kati yake na Palestina? Unafahamu mkataba wa kwanza kwa jina la Oslo ulisainiwa mwaka 1993 ila Wazayuni wengi hawakuoendezwa na hali hiyo?

Basi mwaka 1995 Yitzhak Rabin aliuawa akiwa madarakani kwa kupigwa risasi cos Wazayuni waliona wamesalitiwa na Waziri Mkuu.

Embu niambie wewe mbongo mwenye akili unawashauli watumie akili gani?
Alipigwa risasi na wanafunzi. Shida kubwa Ni Hamas na ndiyo wanaosababisha wasikae kwa amani na wao sababu wanawalea Hamas wanawasababishia maafa makubwa
 
Alipigwa risasi na wanafunzi. Shida kubwa Ni Hamas na ndiyo wanaosababisha wasikae kwa amani na wao sababu wanawalea Hamas wanawasababishia maafa makubwa
Source yako inayo back hizo claims ni ipi
 
Hahaha hao WHO wao wamemaliza magonjwa duniani? Mbona wapo? waache unafiki anayewalipa wao ndiye anamlipa UN. Wivu tu, badala ya kula unaangalia sahani ya mwenzio.
Mimi nataka vita iendelee kama wao wamechoka shauri yao, na wakalale. Kuna watu hawalali wanafanya tafiti kutafuta silaha bora za kuuwa binadamu, na wao WHO wanamgambo wao wanafanya tafiti kutokomeza magonjwa, interest tofauti, kazi tofauti majukumu tofauti. Wafanye yao na wale waachwe wafanye yao.
Kama mnatamani kazi za jeshi acheni huko mkajiunge muache wivu.
 
Hayo maafa kwa IDF hayajasimama mpaka leo. Kila data zikiwashwa kuna vingine vinaoneshwa vikiwa chakavu
Pamoja na hivyo Israel ikipunguza kiburi chake nafuu itapatikana kwake na kwa Palestina.

Kinyume chake wakijiamini wana nguvu sana na wako Gaza mambo yanaweza kuwageukia muda wowote kuanzia sasa. Allah ni muweza wa kila jambo na huleta nusra na ushindi sehemu watu wamekata tamaa kabisa.

Sawa! Tulia magaidi yasafishwe kwa ajili ya usalama wa pande zote.
 
Hivi Mungu aliyeibariki Israel ndio Mungu huyo huyo ambaye watu huwa wakisifu kuwa Mungu wao ni Mungu wa upendo na amani?
Ina maana haya mashambulizi ya Israel kwa Palestina yanahusika moja kwa moja na huyo Mungu kwa maana ndivyo anavyolilinda taifa lake teule?

Ulitaka Israeli akae kimya huku raia wake wanachinjwa na kubanikwa kama kuku?!
 
Akili gani mzee watumie Wapalestina? Unajua mwaka 1993 aliekuwa Waziri mkuu wa Israel Yitzhak Rabin aliiongoza Israel kuingia makubaliano ya amani kati yake na Palestina? Unafahamu mkataba wa kwanza kwa jina la Oslo ulisainiwa mwaka 1993 ila Wazayuni wengi hawakuoendezwa na hali hiyo?

Basi mwaka 1995 Yitzhak Rabin aliuawa akiwa madarakani kwa kupigwa risasi cos Wazayuni waliona wamesalitiwa na Waziri Mkuu.

Embu niambie wewe mbongo mwenye akili unawashauli watumie akili gani?

Watulie wajiunge na Israeli. Mbona kuna waarabu zaidi ya Mil 2 wanaishi vizuri tu ndani ya Israeli
 
Unataka kuniambia kesi ya Israel na Palestina unaijua kuanzia October 7, 2023? Hujui ata kuwa Gaza imeshamegwa kias cha kutosha na ardhi yake kuchukuliwa na Israe? Iangalie mipaka ya Gaza 1947 UN ilivyokagawa then angalia mwaka 1986 kabla ya kuanzishwa ata kwa ao Hamas!

Tuseme sawa Hamas walikosea kuishambulia Israel kama unavyoona wewe, vip hapa chini kuna taarifa juzi wanajeshi wa Israel waliingia Ukingo wa Magharibi! Walichokozwa?
img20231114112338-jpg.2816790
View attachment 2816793
mjinga ni mjinga tu.. Hii vita mshambiwa sio ya kihistoria hii vita ni ya october 7 na operatio yake ni kuifuta Hamas.. so hamas atafutwa kote kwenye trace zakeiwe west bank au nje ya israel... hayo maigizo ya kuweka watoto kuwapaka tomato sosi hayata saidia ishaandikwa kufutwa kwa hamas..

Na sielewi mnajisahaulisha au ndio ujinga sijui.. Subirini tu ngoma iishe ndio muanze kuleta habari za Palestina.. kwa sasa tuacheni tumalize kazi waliyotaka Hamas wenyewe this will never happen again.. najua inawauma kuja kukosa mpinzani wa baadae hii ni sawa na kuwa mmefiwa na mke wenu hamas lazima muumie ila vumilieni.. Mazungumzo a Magaidi au waunga mkono ugaidi hawawezi shinda kwenye hili.. kwqanza nyie tokea lini mliipenda israel.. acha wa fight for their life na nyie ingizeni majeshi yenu maana waliopo wanakaribia kuisha
 
Maskini wapalestina.Wanaonewa huruma kwa maneno ya kiume na mkuu wa WHO lakini ndugu zao na majirani zao wanakula pila buheri.
Arab league imechukua hatua gani mpaka sasa?
 
Hivi Mungu aliyeibariki Israel ndio Mungu huyo huyo ambaye watu huwa wakisifu kuwa Mungu wao ni Mungu wa upendo na amani?
Ina maana haya mashambulizi ya Israel kwa Palestina yanahusika moja kwa moja na huyo Mungu kwa maana ndivyo anavyolilinda taifa lake teule?
Israel anapigana na Hamas, Mungu kaingiaje hapo ?
 
Martin Gifhin mkuu wa shirika la afya duniani amesema ikiwa umoja wa mataifa umeshindwa kuizuia Israel isiendelee kuua watu wasio na hatia Gaza basi hakuna haja ya kuwepo umoja huo.

Maelezo hayo ameyatoa leo na kunukuliwa na vyombo vya habari kikiwemo aljazeera baada ya kupokea taarifa ya idadi kubwa ya wagonjwa kufariki kwenye hospitali mbali mbai za Gaza baada ya kukatiwa huduma zote za kihospitali ikiwemo umeme,maji na chakula pamoja na madawa.

Mapema akitoa taarifa yake leo,meneja wa hospitali ya alshifaa amesema wagonjwa wote 22 kwenye vyumba vya mahututi wamekufa kutokana na kukosa huduma na hewa ya oxygen.

Hayo yakitokea Gaza hospitali nyengine zimeendelea kuvamiwa kule ukanda wa magharibi sambamba na mashambulizi ya kijeshi kwenye kambi kadhaa za wakimbizi kwani idadi kubwa ya wapalestina wa maeneo hayo wanaishi kwenye kambi za wakimbizi kama vile Jenin na Tulkarem.
Unajua Alwaz Huwa unashangaza kweli. Mara useme Waisrael wanapihwa ile mbaya huko Gaza. Mara leo Waisrael wanawaonesha cha mtema kuni HAMAS hadi Mkurugenzi wa WHO anaingilia kati. Lipi ni lipi kwako? Kwangu wacha HAMAS wote wafe.
 
Unajua Alwaz Huwa unashangaza kweli. Mara useme Waisrael wanapihwa ile mbaya huko Gaza. Mara leo Waisrael wanawaonesha cha mtema kuni HAMAS hadi Mkurugenzi wa WHO anaingilia kati. Lipi ni lipi kwako? Kwangu wacha HAMAS wote wafe.
Sijui unatumia akili gani kusoma taarifa na kuchambua mawazo.
Kuna sehemu nakupa taarifa na sehemu nakupa uchambuzi wangu.
Jee mkuu wa WHO hukumsikia akisema hilo au hupendi aseme hivyo.Inakuuma ukiona wenye akili na ubinadamu wakitetea wanyonge.
 
Mbona Hamasi hawashutumiwi kwa kuuwa watu wasio na hatia?

Au kwao kuuwa ni halari ?
 
UN ni vibaraka, hawanaga miongozo...
UN ni zile nchi zenye veto power peke yake.

Hakuna kitakachopitishwa bila mataifa hayo yenye veto power kuridhia.

Ni shida kwa nchi kama Urusi na Marekani kuwa na msimamo unaofanana.

Ukiwa mbabe tu na una veto power hakuna wa kukuzuia labda mwingine mwenye veto power apambane na wewe kama ilivyo kwa Russia na Marekani kule Ukraine.

Marekani aliingia Iraq akipiga bila baraka za UN na hakuna aliesema kitu.

Resolution ya UN ikija anaipiga veto.
 
Mbona Hamasi hawashutumiwi kwa kuuwa watu wasio na hatia?

Au kwao kuuwa ni halari ?
Mkuu Israel wako pale kihalali kwa wale wanaoamini historia iliyoko kwenye biblia. Especially torati.

Lakini historia hii ya kawaida, Israel ilianzishwa na mwingereza mwaka 1948.

Kwahiyo kwa historia hii ya kawaida, hao wa Palestine wanaonekana kama wanapigania uhuru wao.
 
mjinga ni mjinga tu.. Hii vita mshambiwa sio ya kihistoria hii vita ni ya october 7 na operatio yake ni kuifuta Hamas.. so hamas atafutwa kote kwenye trace zakeiwe west bank au nje ya israel... hayo maigizo ya kuweka watoto kuwapaka tomato sosi hayata saidia ishaandikwa kufutwa kwa hamas..

Na sielewi mnajisahaulisha au ndio ujinga sijui.. Subirini tu ngoma iishe ndio muanze kuleta habari za Palestina.. kwa sasa tuacheni tumalize kazi waliyotaka Hamas wenyewe this will never happen again.. najua inawauma kuja kukosa mpinzani wa baadae hii ni sawa na kuwa mmefiwa na mke wenu hamas lazima muumie ila vumilieni.. Mazungumzo a Magaidi au waunga mkono ugaidi hawawezi shinda kwenye hili.. kwqanza nyie tokea lini mliipenda israel.. acha wa fight for their life na nyie ingizeni majeshi yenu maana waliopo wanakaribia kuisha
Shida inaanza pale unapoona kama haya mambo yanatokea kwa bahati mbaya kumbe yalishapangwa!

Unapomsikia Antony Blinken akisema hakubaliani na Israel kuitawala Gaza unaona kama ni maneno ya mchezo vile! Kumbe ndiyo uhalisia unaonda kutokea! Na hii hajaanza tarehe 7 October, Israel kuichukua Gaza mazima iliamza kitambo sana, wakicho subiri ni wakati tu.
Screenshot_2023-11-01-20-59-06-31_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom