Imagine jamaa kaishia shule ya msingi tu,ila ana maakili ya kutafuta pesa na ushawishi. Kutoka kuuza Hot dog hadi kuwa karibu na Putin ,kuanzisha Wagner hadi kutawala Africa .Na jamaa inaonekana hapangiwi kitu hata akitaka kuvaa pensi na kutinga clemlin hakuna wa kumzuia..,hivi ndivyo alivyolipuka pamba wakati wa mkutano wa wawakilishi wa Africa mbele ya rais Putin [emoji848][emoji848]View attachment 2701219
Vipi wewe na makenzi, mmewafanyia nini watoto mliowauwa?Halafu huyo mungu wako mwarabu alikua anawachafua wavulana subiri nikuletee maandiko kabisa.
Vipi wewe na makenzi, mmewafanyia nini watoto mliowauwa?
Na hili ndo hasa yapasa atujuze, shida ya kubwa jinga MK254 anayajua ya Russia kuliko kwao kiberaVipi Kenya, hakuna aliyekimbia fujo za huko?
Eti, rafiki yako makenzi amesema fujo haziishi Kenya mpaka atolewe jela? Kweli?
Huu mwaka wa ngapi. tangu jeshi lenu la Kenya livamie Somalia, mbona uletagi update ya mafanikio ya KDF huko Somalia, muda wote huko overly obsesses na Putin na Urusi - juzi hapa jeshi la Sudani ya Kusini hawataki kusikua upuuzi wa jeshi la Kenya kupelekwa Sudani kusini eti kulinda Amani, Congo DRC walisha watimua siku nyingi tu mbona hayo hamuyasemi - masaa yote Putin Urusi, Putin Urusi.Wewe mvaa kobaz umeadimika sana, niliwaambia mtahema, miaka miwili sasa bado hamna jipya, Putin aliwaingiza mkenge.
Huu mwaka wa ngapi. tangu jeshi lenu la Kenya livamie Somalia, mbona uletagi update ya mafanikio ya KDF huko Somalia, muda wote huko overly obsesses na Putin na Urusi - juzi hapa jeshi la Sudani ya Kusini hawataki kusikua upuuzi wa jeshi la Kenya kupelekwa Sudani kusini eti kulinda Amani, Congo DRC walisha watimua siku nyingi tu mbona hayo hamuyasemi - masaa yote Putin Urusi, Putin Urusi.
Ni mtu mjinga tu aliyekuwa anadhani huyo jamaa anashida na putin.ile issue ilikuwa ni muvi ya kuwajaza wajinga wa NATO.Licha ya huyu jamaa kufanya uasi na kusababisha maafa na pia kusababisha Putin aikimbie ikulu na kujificha, ambapo baadaye Putin alijitokeza na kuongea kwa hasira sana kumhusu huyu jamaa, na Urusi kutangaza imemfukuza hadi uhamishoni Belarus, jamaa amethibitisha ni mfupa uliomshinda fisi Putin, amekuja na kuhudhuria hafla ya Putin na kafanya vikao vyake na viongozi wa Afrika.....
Huyu Putin labda huwa tunamuonea bure, itakua ni mateka kabisa na hufuata maagizo ya Russian mafia....
Russian media publish this screenshot of Prigozhin reportedly meeting with representatives of the Central African Republic at the Russia-Africa summit in St Petersburg. (This means that Prigozhin is in Russia and freely visits an official event where Putin also spoke).
Huyu jamaa ni mtu mdogo sana kwa putin lakini wajinga wa NATO mkapumbazika na ile movie mpaka leo hamkubali kuwa mlichezewa akili.Licha ya huyu jamaa kufanya uasi na kusababisha maafa na pia kusababisha Putin aikimbie ikulu na kujificha, ambapo baadaye Putin alijitokeza na kuongea kwa hasira sana kumhusu huyu jamaa, na Urusi kutangaza imemfukuza hadi uhamishoni Belarus, jamaa amethibitisha ni mfupa uliomshinda fisi Putin, amekuja na kuhudhuria hafla ya Putin na kafanya vikao vyake na viongozi wa Afrika.....
Huyu Putin labda huwa tunamuonea bure, itakua ni mateka kabisa na hufuata maagizo ya Russian mafia....
Russian media publish this screenshot of Prigozhin reportedly meeting with representatives of the Central African Republic at the Russia-Africa summit in St Petersburg. (This means that Prigozhin is in Russia and freely visits an official event where Putin also spoke).
Pumbavu kabisa wewe. Nato unawachukulia Kama CCM ubongo uliolalaNiliwambia siku za nyuma humu huyu kala dollars 6.2 Billion za US na Nato afu kajidai anapindua cheza na akili za Putin
Kwa nini ndugu zako wanapenda kwenda kuishi kwa wajinga wa NATO na si kwa Putin?Huyu jamaa ni mtu mdogo sana kwa putin lakini wajinga wa NATO mkapumbazika na ile movie mpaka leo hamkubali kuwa mlichezewa akili.
Wakenya ndo zenu hizo kujikomba kwa west.Kwa hiyo kwa akili yako mkizingua US atawasaidia...Sudan hapo wameishawabip....Fanyeni kujikuna muone moto....Njaa imawapiga, jangwa- mvua hakuna, bado kuna Alshababi, mnaandamana hata hamuekeweki mnataka nini....et mnaiga wazungu wanavyoandamani...wewe uko bizy na Urusi na Putin....Miaka yote hii Urusi ndio ilikua tegemeo lenu dhidi ya Marekani ila imelemazwa na kataifa jirani hapo, ulikua ujinga sana kwa Putin kudhani ataparamia hako kainchi kwa siku chache, ameitia Urusi aibu, kwa sasa waarabu wenu itabidi wasalimu amri tu hamna namna, Marekani ndiye kiranja wa dunia.
Wagner na urusi lao ni moja tu hawajawahi kugombana hawa ni trick tuLicha ya huyu jamaa kufanya uasi na kusababisha maafa na pia kusababisha Putin aikimbie ikulu na kujificha, ambapo baadaye Putin alijitokeza na kuongea kwa hasira sana kumhusu huyu jamaa, na Urusi kutangaza imemfukuza hadi uhamishoni Belarus, jamaa amethibitisha ni mfupa uliomshinda fisi Putin, amekuja na kuhudhuria hafla ya Putin na kafanya vikao vyake na viongozi wa Afrika.....
Huyu Putin labda huwa tunamuonea bure, itakua ni mateka kabisa na hufuata maagizo ya Russian mafia....
Russian media publish this screenshot of Prigozhin reportedly meeting with representatives of the Central African Republic at the Russia-Africa summit in St Petersburg. (This means that Prigozhin is in Russia and freely visits an official event where Putin also spoke).
Huyu jamaa ni mtu mdogo sana kwa putin lakini wajinga wa NATO mkapumbazika na ile movie mpaka leo hamkubali kuwa mlichezewa akili.
Wakenya ndo zenu hizo kujikomba kwa west.Kwa hiyo kwa akili yako mkizingua US atawasaidia...Sudan hapo wameishawabip....Fanyeni kujikuna muone moto....Njaa imawapiga, jangwa- mvua hakuna, bado kuna Alshababi, mnaandamana hata hamuekeweki mnataka nini....et mnaiga wazungu wanavyoandamani...wewe uko bizy na Urusi na Putin....
Kama wale ndugu zako wa Lumumba waliposhindwa ishu ya uuzwaji wa bandariUdini uko wapi hapo? Mimi sielewi maana ya neno "udini". Maana naona hilo neno kila mmoja analitumia akishindwa hoja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuachie zombie letu weweHehehe mama nilijua lazima uchomekee udini, huwa imekufanya uwe zombi kabisa, hapa nawaza jinsi huwa unabwatuka akbar akbar kila ukitiwa...
Ushakuwa mlemavu wa kiarabuUdini uko wapi hapo? Mimi sielewi maana ya neno "udini". Maana naona hilo neno kila mmoja analitumia akishindwa hoja.