Mkuu wa Wagner apongeza mapinduzi ya kijeshi Niger na aomba apewe fursa ya jeshi lake humo

Mkuu wa Wagner apongeza mapinduzi ya kijeshi Niger na aomba apewe fursa ya jeshi lake humo

Nonsense unaonesha wewe ni mbumbumbu.kama hawana mkataba mbona NATO wamejazana Ukraine na bado wamepigwa.ukraine utakuwa silaha za NATO,wanajeshi na wakufunzi wa NATO.acha kuongea ujinga hadharani.
Wewe acha uongo, hakuna Nato Ukraine ila silaha ndio wanapeleka, sasa msitafute visingizio vya Russia kushindwa kutimiza malengo yake ovu kwa kusingizia uwepo wa Nato Ukraine, huo ni uongo kabisa.
 
Kwa ulivyo kilaza kisichokua na akili hauwezi ukaelewa chochote hapo...
Nimekufuatilia post zako,wewe baada ya elimu kukukomboa Bali wewe umeikomboa elimu.. shortly ni mpumbavu kwenye kundi la wapumbafu.
 
Back
Top Bottom