Inasikitisha sana jinsi wachina sasa hivi wanavyotunyanyasa eti watu weusi tunasambaza maambukizi ya Corona.
Licha ya yote Inahuzunisha zaidi hadi kumuita nyani na kumdhiahaki kwa rangi yake mkuu wa WHO raia wa Ethiopia Tedro Adhanon Gebreyesus licha ya kuitetea serikali ya China kwenye Corona. Wachina kwenye mitandao ya kijamii sasa hivi ni kututukana tu manigger.
Licha ya yote pia wa Oromo kabila kubwa Ethiopia linalotaka kujitenga wamefurahi mkuu huyo wa WHO kutukanwa na kuitwa nyani.
Tedro Adhonom ametokea kabila la Tigray Kaskazini mwa Ethiopia ambalo wana uadui mkubwa na Oromo hadi hawawezi kuowana.
Inasemekana Tedro Adhonom aliwashtua ndugu zake wa Kaskazini mapema January kuchukua tahadhari za haraka kupambana na Coronavirus. Ndio maana maambukizi ya Korona Kaskazini mwa Ethiopia ni machache.
Licha ya yote Inahuzunisha zaidi hadi kumuita nyani na kumdhiahaki kwa rangi yake mkuu wa WHO raia wa Ethiopia Tedro Adhanon Gebreyesus licha ya kuitetea serikali ya China kwenye Corona. Wachina kwenye mitandao ya kijamii sasa hivi ni kututukana tu manigger.
Licha ya yote pia wa Oromo kabila kubwa Ethiopia linalotaka kujitenga wamefurahi mkuu huyo wa WHO kutukanwa na kuitwa nyani.
Tedro Adhonom ametokea kabila la Tigray Kaskazini mwa Ethiopia ambalo wana uadui mkubwa na Oromo hadi hawawezi kuowana.
Inasemekana Tedro Adhonom aliwashtua ndugu zake wa Kaskazini mapema January kuchukua tahadhari za haraka kupambana na Coronavirus. Ndio maana maambukizi ya Korona Kaskazini mwa Ethiopia ni machache.