BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Waafrika tushajiwekea hali ya kubaguliwa navwazungu na tunajali sana kila neno linalotuzungumzia kwa upande hasi.
Kwa mfano nikimwambia mwafrika mwenzangu 'wewe nyani toka hapa' inaweza isiwe ishu kubwa kwa sababu mimi niliyemwambia huyo ni mweusi kama yeye, lakini kauli hiyo akiitoa mzungu itakuwa habari kubwa hadi itafika mitandaoni.
Kwa hiyo fikra za kubaguliwa ndizo zinazotutesa.
Umeongea point kamanda
Cc; socrate jr