Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Started from the bottom now we are hereInasikitisha sana jinsi wachina sasa hivi wanavyotunyanyasa eti watu weusi tunasambaza maambukizi ya Corona.
Licha ya yote Inahuzunisha zaidi hadi kumuita nyani na kumdhiahaki kwa rangi yake mkuu wa WHO raia wa Ethiopia Tedro Adhanon Gebreyesus licha ya kuitetea serikali ya China kwenye Corona. Wachina kwenye mitandao ya kijamii sasa hivi ni kututukana tu manigger.
Licha ya yote pia wa Oromo kabila kubwa Ethiopia linalotaka kujitenga wamefurahi mkuu huyo wa WHO kutukanwa na kuitwa nyani.
Tedro Adhonom ametokea kabila la Tigray Kaskazini mwa Ethiopia ambalo wana uadui mkubwa na Oromo hadi hawawezi kuowana.
Inasemekana Tedro Adhonom aliwashtua ndugu zake wa Kaskazini mapema January kuchukua tahadhari za haraka kupambana na Coronavirus. Ndio maana maambukizi ya Korona Kaskazini mwa Ethiopia ni machache.
Kwani sisi tumekatazwa kuwaita wachina manyani jike ?Siyo kubuni mkuumkuu ingia kwenye mitandao ya kijamii ya kichina
Hivihivi tutashangaa WW3!
Sijui ntakimbilia wapi kenge mimi!!
Dah! Mweka mada waambie waache hao kuna kimanzi nakifatilia kwanza nikishakikila waanze..
Qengeh kajambe mbali hukoStarted from the bottom now we are here
Another shithole uzi
Nyani jikeQengeh kajambe mbali huko
Cut the long shyt shortNyani jike
Watu wanapenda sana FAKE NEWS,kuna Media ya Kenya iliandika kichwa cha habari UKAIDI WA MAGUFULI na wananchi wa kenya wakaingia kwny page ya hio media na kumponda sana magu,sasa je ni sahihi kusema hicho kinachoandikwa na Wakenya huko mitandaoni ndio msimamo wa serikali ya Kenya,Hakika serikali ya UCHINA Imeshatoa msimamo wao tayari
sasa sijajua wazungu wa afrika watakuja na slogan gan!?
Sent using My COVID-19
Ndio hapo sasa, sisi ngozi nyeusi tunapenda sana kulalamika kwa vijimambo vidogo vidogo ambavyo havituongozei wala kutupunguzia kitu.ukiitwa nyani unakuwa nyani ?
Binafsi nilijua kama msimamo waserikali hauwez kua vile kabka hata hawajatoa tamkoWatu wanapenda sana FAKE NEWS,kuna Media ya Kenya iliandika kichwa cha habari UKAIDI WA MAGUFULI na wananchi wa kenya wakaingia kwny page ya hio media na kumponda sana magu,sasa je ni sahihi kusema hicho kinachoandikwa na Wakenya huko mitandaoni ndio msimamo wa serikali ya Kenya,
Haha[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni jeshi la mtandaoni la vijana wa China mainland wanaojifanya ni Wataiwan,wanatuma meseji za kumtusi huyo mkuu wa WHO lengo ni kujenga chuki kati ya WHO ya Taiwan
Chanzo Cha taarifa tafadhari, sio vema kusoma habari za kubuni na kutunga kwenye magroup ya Whatsapp
Waafrika tushajiwekea hali ya kubaguliwa navwazungu na tunajali sana kila neno linalotuzungumzia kwa upande hasi.ukiitwa nyani unakuwa nyani ?
Kaitwa nyani au hakuitwa nyani?
Ulinisikia wapi nikiwaita hivyo kamanda?Nanyie wanawaita wazungu "CORONA" ngoma droo kamanda...
Ulinisikia wapi nikiwaita hivyo kamanda?