Mkuu wa Wilaya agoma kuingia kikaoni baada ya Wimbo wa Taifa kuanza akiwa nje

Mkuu wa Wilaya agoma kuingia kikaoni baada ya Wimbo wa Taifa kuanza akiwa nje

Basi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
😄😄😄 mbona bubujiko la machozi ya furaha😄
 
Kwanini madiwani waimbe wimbo wa taifa kabla ya DC ?!!

Je katika halmashauri ni sharti na taratibu kuwa wimbo wa taifa haui mbwi mpaka mkuu wa wilaya awepo/aingie ?!!!
 
Hii imetokea huko Mbulu mkoani Manyara hii leo baada ya mkuu wa Wilaya hiyo kugoma kuingia kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani kwa sababu Madiwani wameimba Wimbo wa Taifa kabla hajaingia.

Kazi kwelikweli nchi hii mambo ni mengi. Hapo tayari ni mgogoro wa DC na DED na madiwani wake. Kisa ni Wimbo wa Taifa.
Duh!
 
Basi wamwambie aingie tu ndani watarudia kuimba tena akiwepo.maana mambo mengine hayahitaji nguvu zaidi ya kutumia tu busara. Akigoma tena pia kuingia ndani wamwambie nitakuja kuongoza wilaya hiyo bure kabisa mpaka wananchi wabaki Wanabubujikwa na machozi ya furaha muda wote.
Mkuu naona umejitangulizia pasi mbele.😂
 
Back
Top Bottom