Mkuu wa Wilaya agoma kuingia kikaoni baada ya Wimbo wa Taifa kuanza akiwa nje

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ mbona bubujiko la machozi ya furahaπŸ˜„
 
Kwanini madiwani waimbe wimbo wa taifa kabla ya DC ?!!

Je katika halmashauri ni sharti na taratibu kuwa wimbo wa taifa haui mbwi mpaka mkuu wa wilaya awepo/aingie ?!!!
 
Duh!
 
Mkuu naona umejitangulizia pasi mbele.πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…