Mkuu wa wilaya aingia darasani-afundisha hesabu za maumbo

Huyu mkuu wa wilaya chama cha walimu inabidi wamshitaki kwa mkaguzi mkuu wa shule wa kanda kwasababu hakuwa na lesson plan na teaching aids alizokuwa nazo pistol na risasi anahatarisha maisha ya wanafunzi!
 
Atakuwa amewalisha watoto matango pori tu huyo
 
Baada ya hapo anajilipa posho(mishahara ya miezi3 ya mwl) kwa masaa hayo tu.
 
mwacheni mkuu wa wilaya ajikumbushie hesabu za enzi zake.
 
Hii teknik ya DC ingelipa sana enzi za 70s. Wakati wa bugaluu, bumping, afro, etc.
 
vituko vya wakuu wa wilaya haviishi huko kagera mmoja kawaambia wanafunzi walioandamana kuwa atawaswaga maafisa elimu wakafundishe bila kuzingatia idadi ya shule na madarasa na ile ya maafisa. unakumbuka mmoja wao aliwahipiga bakora walimu?
 
Mrishogambo brother nikweli hyo? Umeingia kufundisha? Mimi nashauri kama vikosi vya uokoaji vinavyofanyaga kazi, sasa wabunge,ma dc, rc, deo,mawaziri, wawahishwe kwenyeshule wakapge lecture. Umoja wa mataifa nao ucheki uwezekano wa msaada wa walim had mgomo utakapomalizika
 

Kupata Ukuu wa Mkoa ujue si mchezo! Lazima usanii uwe mwingi Msanii Mkuu akuone. Teh! Teh! Teh! Teh! Teh!
 
Nusu mara kimo mara kitako nimekosea au nimepatia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…