Mkuu wa Wilaya ana mamlaka gani kufunga baa?

Mkuu wa Wilaya ana mamlaka gani kufunga baa?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA.

Kuna kiki za kulazimisha zisizo na msingi. We umekamata danguro umefunga bar zinakuhusu nini. Otherwise pale Mwananyamala hospt lile danguro lililokuwa likitutunza ndoa za watu opp na hospt mbona RC alidili na danguro hakufunga hospt ya Mwananyamala.

Hamkujua wale waliona wagonjwa ndani hawana pa kulala pale ndipo palikuwa sehemu ya kujifariji. Mbona hakufunga hospt ya Mwanyamala.

Kick zingine mjipange kabla ya kuita tv kuwarekodi mnaishia kuaibika. Ati bar zisifunguliwe mpaka mje ofisini ofisini kufanya nini, rushwa?

Muwe na busara na hekima mnapoenda kuongea mbele za watu.
 
Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA.

Kuna kiki za kulazimisha zisizo na msingi. We umekamata danguro umefunga bar zinakuhusu nini. Otherwise pale Mwananyamala hospt lile danguro lililokuwa likitutunza ndoa za watu opp na hospt mbona RC alidili na danguro hakufunga hospt ya Mwananyamala.

Hamkujua wale waliona wagonjwa ndani hawana pa kulala pale ndipo palikuwa sehemu ya kujifariji. Mbona hakufunga hospt ya Mwanyamala.

Kick zingine mjipange kabla ya kuita tv kuwarekodi mnaishia kuaibika. Ati bar zisifunguliwe mpaka mje ofisini ofisini kufanya nini, rushwa?

Muwe na busara na hekima mnapoenda kuongea mbele za watu.
DC kuingilia kazi za watendaji wa serikali ina maana serikali eneo hilo imepwaya.
Yupo ofisa Biashara
Yupo ofisa Afya
Yupo ofisa wa Mazingira

Serikali hpo imeshindwa nini hadi mwanasisa DC aingilie kati?
Hapo kuna decline or failure of the Governing system.
 
Hilo danguro lipo wilaya gani?! Na huyo aliyefunga ni mkuu wa wilaya husika?!

Sometimes wakuu kufanya matukio ya namna hiyo ni kutikisa tu kibiriti na kutengeneza discipline kwamba wahusika wasijisahau, serikali ipo kazini.

Baa haitafungwa milele, wacha kuleta nyuzi za kiwaki!
 
Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA.

Kuna kiki za kulazimisha zisizo na msingi. We umekamata danguro umefunga bar zinakuhusu nini. Otherwise pale Mwananyamala hospt lile danguro lililokuwa likitutunza ndoa za watu opp na hospt mbona RC alidili na danguro hakufunga hospt ya Mwananyamala.

Hamkujua wale waliona wagonjwa ndani hawana pa kulala pale ndipo palikuwa sehemu ya kujifariji. Mbona hakufunga hospt ya Mwanyamala.

Kick zingine mjipange kabla ya kuita tv kuwarekodi mnaishia kuaibika. Ati bar zisifunguliwe mpaka mje ofisini ofisini kufanya nini, rushwa?

Muwe na busara na hekima mnapoenda kuongea mbele za watu.
Wamshtaki mahakamani Wadai fidia ya hasara
 
Back
Top Bottom