Mkuu wa Wilaya ana mamlaka gani kufunga baa?

Mkuu wa Wilaya ana mamlaka gani kufunga baa?

Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA.

Kuna kiki za kulazimisha zisizo na msingi. We umekamata danguro umefunga bar zinakuhusu nini. Otherwise pale Mwananyamala hospt lile danguro lililokuwa likitutunza ndoa za watu opp na hospt mbona RC alidili na danguro hakufunga hospt ya Mwananyamala.

Hamkujua wale waliona wagonjwa ndani hawana pa kulala pale ndipo palikuwa sehemu ya kujifariji. Mbona hakufunga hospt ya Mwanyamala.

Kick zingine mjipange kabla ya kuita tv kuwarekodi mnaishia kuaibika. Ati bar zisifunguliwe mpaka mje ofisini ofisini kufanya nini, rushwa?

Muwe na busara na hekima mnapoenda kuongea mbele za watu.
Pelekeni mahamani haraka huyo m.puuzi
 
Hajuiii ndoo viiimarisha ndoa za watu tunatoka tenets kuwafwta unawadharau aturleze wameenda wapi basi tuwafwate
Ngoja mkamtombee mkewe vitombi hamchelewi soon Mr. DC atatupa taulo Chini,
 
Nlitegemea mkuu wa wilaya ya ubungo aanze na barabara ya mpiji magoe,
 
Wale wa Sinza wapo fair SIO km Riverside hivi unaelewa maana ya fairness, ngoja nikufungulie ukurasa Sinza room yake amepanga lodge hakuibii unakula wali kuku unashiba huambiwi ongeza hela package ni hio HIO sana sana labda aombe tip ya bia haizidi 2000/5000 na sio lazima lakini hapo ushajilia vyako ushamaliza, ushanielewa? Sasa hivi vitoto vya Riverside tamaa zimewaponza hawakua fair ongeza hela ongeza hela zimewaponza wanataka watoke na hela za vicoba mifuko Kumi ishirini kwa siku anataka amalize vichwa 20 mwisho anaanza kuiba watu wanashikwa na hasira wanaona Bora wamtimue

SIO Sinza tu Kimara, Tabata, Mbagala, Kigamboni, Magomeni, K/Koo, Masaki, Msenge wewe, Mabibo, Mbezi Beach, Chanika, Tandika, Temeke, Ubungo, Mbezi Mwisho kote wamepanga lodge Ila wana-play fair unakula ulicholipia sio unaagiza wali kuku unapewa Ugali na Miguu ya kuku ujinga huo nani anataka?
Mkuuuuuy hapoo nimekuelewa sinza mpaka useme poo mwenyewe...haoo watakuwa wamemgusa mmmojawapale.....akaona awakomesheee..maana wakoo sikukibaooo hawaguswi serklzamtaa wanavura helapale mkuu imagine kuwaomdoa wanatesa watukibaooo
 
Kuna clip inasambaaa DC kafunga sijui danguro la Riverside. Ajabu katangaza bar zilizo karibu na danguro zifungwe. Hizi bar zinalipa vibali vyote manispaa na TRA.

Kuna kiki za kulazimisha zisizo na msingi. We umekamata danguro umefunga bar zinakuhusu nini. Otherwise pale Mwananyamala hospt lile danguro lililokuwa likitutunza ndoa za watu opp na hospt mbona RC alidili na danguro hakufunga hospt ya Mwananyamala.

Hamkujua wale waliona wagonjwa ndani hawana pa kulala pale ndipo palikuwa sehemu ya kujifariji. Mbona hakufunga hospt ya Mwanyamala.

Kick zingine mjipange kabla ya kuita tv kuwarekodi mnaishia kuaibika. Ati bar zisifunguliwe mpaka mje ofisini ofisini kufanya nini, rushwa?

Muwe na busara na hekima mnapoenda kuongea mbele za watu.
Pdidy toka upate kesi za udhalilishaji umekuwa mwehu, hajafunga baa iliyokaribu na danguro Bali kafunga baa zenye madanguro
 
Mkuuuuuy hapoo nimekuelewa sinza mpaka useme poo mwenyewe...haoo watakuwa wamemgusa mmmojawapale.....akaona awakomesheee..maana wakoo sikukibaooo hawaguswi serklzamtaa wanavura helapale mkuu imagine kuwaomdoa wanatesa watukibaooo
Sasa ndio waelewe kwamba Tako bila Sura ni Uvimbe...
 
Back
Top Bottom