Wale kilichowasanua wengi hawauzi wanaiba Wewe hauujui mchezo ulivyo most of them are thief sex workers wanakuibia kwa njia ya kukuuzia penzi, hio ndio sababu ya kwenda kudakwa sababu sio kwamba wanauza HUKU mtaani mboni wapo wanaouza Ila hujawahi sikia Buza kumefungwa wa Temeke kumefungwa Tabata Barakuda kumefungwa, tatizo wale walianza kuiba na wana sungusungu wamepaki nje ukimzingua akipaza sauti umeisha na walivyo kikundi jiandae kusaula kwa hio ni risk ni mbaya na haifai km wangekua fair wasingefuatiliwa Ila hawa-play fair wanaibia watu wanaowafuata kwenda kulala nao
Nitakupa mfano mdogo unaenda pale anakwambia bao 1 5000 ukifika ndani dakika 1 haijaisha tayari anakwambia mda umeisha ongeza hela unatoa tena 5000 haijaisha dakika 2 anakwambia Muda umeisha ongeza hela tena huna hela anavaa nguo zake anakuvua condom uende ukisema uongeze hela anahesabu dakika haizidi 3 unaambiwa Muda umeisha, huo km sio Wizi ni nini?
Wanatumia technique ya kukuuzia Mwili kukuibia nothing else sasa wewe na tamaa zako utaishia kuibiwa bila kujua km unaibiwa baada ya wengi kufanyiwa hivyo ndio ikabidi wadhibitiwe wakafanye shughuli zingine Ila sio Ile ya kujifanya wanauza Mwili ilihali wanaibia watu hakuna wanachouza wanaibia tu watu kijingajinga na Wajinga wengi wameshaibiwa kijingajinga just like that unaenda anakuibia tu basi nothing else,
Watu wakiamua wameamua ndio kilichotokea wameamua sasa km mnatuletea Wizi wa kijingajinga tunawatimua kachomeni vitumbua shenzi type mnatuletea Wizi kwa style ya kuuza Mwili hapa Wezi wakubwa
Kinachowabana watu wenye Bar ni kwamba kwenye zile Bar kuna vyumba na vile vyumba wale wanavilipia kwa kufanya huo ushenzi kwa hio ni syndicate inamaana na wao ni washirika wao maana km ingekua sio washirika wangewakatalia kua huu upuuzi wenu msiufanyie hapa Ila umekua km Mchezo maana wao wanapata Pesa kwa HIO na wao kuhusishwa ni sahihi kabisa maana hawawezi kujitoa kwenye HICHO kitanzi wao pia ni wahusika wakubwa kwa sababu wanawakodishia vile vyumba na wanajua kila kinachoendelea wanafahamu abc zote hawawezi wakasema hawajui sababu ni kitu kilichokua kina-operate kwa Muda mrefu na wao wanaona kila kinachoendelea, sasa hapo unajitoaje? Unasemaje wewe hauusiki? Unasemaje haikua umewaruhusu wakati umewakodishia vyumba wafanye wanachokifanya?