Mtu huwezi amini mji wa Korogwe ulikuwepo tangu enzi ya Mjerumani, kila kitu kimekufa.
Magu kawajengea stand mpya lakini wenye mabasi wanaingia kwa kulazimishwa kwa dk zisizo zidi tano.
DC atafute wa kumshauri nyanja za kuinua vipato vya majimbo yote mawili sio wabunge ambao kuanzia yule "profesa" mganga wa kienyeji hawana mchango wowote wa maana.