Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Tetesi: Mkuu wa Wilaya Mpya wa Kisarawe ni "Mtoto" wa Rais Magufuli

Watanzania kwanini tunafuatilia waluoteuliwa sana? Jana tu humu kuna bandiko RAIS MAGUFULI NA MFUMO KRISTU. alipost assadsyria!!! Leo tena nakuta kundi la WAMASAI mjini wanalalamika hakuna hata mkuu wa wilaya mmoja Mmasai!! UKABILA, UDINI NA UNDUGU utatupeleka wapi? Nafasi zenyewe za uteuzi ni chache.
 
unakosea hajachaguliwa kwa undugu, uwezo wake ndo uliomfanya achaguliwe ana uwezo sana tangu akiwa TANROADS
Uwezo gani? Alishindanishwa na nani hadi uwezo wake ukazidi wengine? Jopo gani lilikaa kumfanyia interview? Hii inaitwa
conflict of interest. Nilidhani mh atajitofautisha na wengine kumbe ni yaleyale. Amekuwa anawawalsumu sana wenzske kumbe naye ni walewale!
 
H
hakuna shida mkuu isipokuwa kuleta undugu kwenye kazi napo hupunguza ufanisi Nadhani ulijifinza Kipindi cha Kikwete alijaza Ndugu na marafiki uliona nini kilitokea .
Kwa hiyo mnataka ndugu wa viongozi waachwe hata kama wana sifa stahiki..??
 
Hivi kwanini hawa viongoxi haws wakubwa wa nchi wasiwatafutie kazi kwenye sekta binafsi badala ya kuwajaza serikalini ili kuondoa conflict of interest na mslalamiko km hisia mbaya? Magufuli hapa kashindwa kujiyofautisha na wenzake!
 
Mimi sioni ubaya wa huo uteuzi. Kama mwaka 2010 alijitokeza kugombea ubunge akakosa inaonyesha kumbe ana mapenzi na siasa na uongozi. Kama wengine waliogombea ubunge wakakosa kama kina Kasesela na Gondwe wameteuliwa ukuu wa wilaya kwa nini huyu dada asiteuliwe? NI kweli hana sifa zinazotakiwa kwenye hiyo nafasi? Akose uteuzi kwa sababu tu ni mtoto a Rais? Aaahirishe harakati zake za siasa kwa miaka 5/10 mpaka baba yake mlezi amalize muda ake? Na akiteuliwa baada ya baba yake kumaliza muda hamtasema amependelewa kwa sababu ni mtoto wa kigogo? Dalili za wivu zipo maana kuna mtu hata kaponda kiwango chake cha elimu - master siyo msomi!
 
dah hata tukijadili huku yeye ndo ashakua mkuu wa wilaya hivyo hakuna namna
 
isupilo
Hapa umechanga vinywaji asee!! Juu ulieleza vema sana hapo mwishoni umechukua mango juice na kimpumu uka_mix kuondoa uhalisia ulichoandika juu!!.

"...Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa..."
 
Hapa tunajadiliana na watu ambao hawana hata ABC ya uongozi. Ni watu waliojaa mahaba na mapenzi kwa chama. Ninyi hamna msaada kwa Taifa.

Watu wamebaki kwa kusema mbona
utawala uliopita ulimweka fulani na fulani, wanachoshindwa kujua ni kuwa binadamu yeyote mwenye akili hatafuti kushindanishwa katika uovu. Halafu kuna hoja za kijinga kabisa kuwa mbona

Ridhiwani alikuwa mbunge. Lakini Ridhiwani hakupewa ubunge na Baba yake bali alichaguliwa na wananchi. Huyo dada

angekuwa amepata nafasi kwa kuchaguliwa na wananchi, kusingekuwa na hoja. Kama huyo binti angekuwa kwenye nafasi ya

kitaalam kusingekuwa na shida. La
kini yeye amepewa nafasi ya kisiasa na mtu mwenye maslahi naye, ambaye kwa vyovyote vile au uteuzi wake, au mwenendo wake, au hatua dhidi yake au maumuzi
yoyote dhidi yake, yanaweza kuathiriwa n
a mahusiano ya kifamilia.

Kama ni kweli haya yanayotamkwa, basi huyu atakuwa ndiye kiongozi wa kwanza


Tanzania kumteua mwanafamilia kwenye nafasi ya kisiasa.

Brilliant. Nadhan wamekuelewa!
 
Hivi kwanini hawa viongoxi haws wakubwa wa nchi wasiwatafutie kazi kwenye sekta binafsi badala ya kuwajaza serikalini ili kuondoa conflict of interest na mslalamiko km hisia mbaya? Magufuli hapa kashindwa kujiyofautisha na wenzake!
Ni kweli kabisa ndugu za viongozi wanatakwa wahudumu katika sekta binafsi lakini kutokana na changamoto za ushindani zilivyo katika sekta binafsi wengi hawataweza kuhimili hiyo mikimiki. Ukianza kuangalia njia za kimaisha alikopita huyo muhusika lazima mkono wa mzee uwepo na hakuweza kuhimili mikimiki ya ushindani.
 
we nae unamsemea kama nani?? we umejuaje kama atafanya ndivyo sivyo?? unauhakika gani kama atadhulumu?? tupunguzeni wivu acheni watu wafanye kazi
Haina maana kama atafanya lakini ikitokea akafanya itakuwaje? Kwenye conflict of interest tunaangalia "worst case scenario"
 
Mkuu inabidi urudi darasani hujui nini maana ya conflict of interest. Mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa rais wilayani. Unapozungumzia conflict of interest always Ina involves two parties. Sasa hiyo conflict of interest ni Kati ya Nani na nani
Kati ya raisi na binti yake, au raisi na binti yake ni watu watatu?
 
Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.

Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happy es Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura

Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe

Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
A young and highly educated aggressive lady, we need such educated girls, what is required is qualification na uchapa kazi. Lots of cograts for her and wish her much more in future, siyo kama wale waliokuwa wanapewa vibarua bila sifa and to make worst with fake certificates(PhDs or so mifano ipo the former CEO of NACTE). Once again hongera sana zake.
 
Back
Top Bottom