Usimalizie hapo mwambie akaone huko kwa malaika ukawa kukoje mpaka mke wa Lowasa kwa busara zake na ukomavu alikataa ubenge wa viti maalum.Neno conflict of interest hutumiwa ktk mazingira kama haya!
Ni kama issue za tenders, huwezi kuipa tender kampuni yako, au kumfanyia interview mwanao!
Anyway Magufuli sio wa kwanza!
Nyerere alikuwa na ndugu Kibao ktk uongozi! Mkapa alikuwa na washkaji wa kutosha, the same kwa kikwete ambaye hata ndugu walikula position!
Si sawa Ila alichofanya is not uncommon!
Kumbe ni wajuzi juzi tu Kwa maana ya udom??? Halafu amewahi kuwa hr manager tanroad mkoa wa tanga ( kwa maana ya bosi wa mahr) ni vizuri ukamuhoji nduguyo je kuna class mate wake mwingine aliyefikia vyeo hivyo?? au mafanikio hayo? naomba ulete mlejesho halafu tuanzie hapo.. may be she is extra genious than all her classmates...
Ikulu ni mzigo .Kwahio kama amemlea na anazo sifa za kuteuliwa basi aachwe?
By jk nyerere.......r.i.pIkulu ni mzigo .
Ni shedah, undugulization
Kesho waziri wake nae akiteua ndugu yake ataweza hata kumuhoji kama yeye keshaanza kuonyesha mfano mbaya?
Neno conflict of interest hutumiwa ktk mazingira kama haya!
Ni kama issue za tenders, huwezi kuipa tender kampuni yako, au kumfanyia interview mwanao!
Anyway Magufuli sio wa kwanza!
Nyerere alikuwa na ndugu Kibao ktk uongozi! Mkapa alikuwa na washkaji wa kutosha, the same kwa kikwete ambaye hata ndugu walikula position!
Si sawa Ila alichofanya is not uncommon!
Uwezo gani? Alishindanishwa na nani hadi uwezo wake ukazidi wengine? Jopo gani lilikaa kumfanyia interview? Hii inaitwa
conflict of interest. Nilidhani mh atajitofautisha na wengine kumbe ni yaleyale. Amekuwa anawawalsumu sana wenzske kumbe naye ni walewale!
Alipambana vipi????????????????? ushabiki shida sn
kwani mm nilikataa kuwa hawezi kuwa mkuu wa wilaya kwa elimu aliyo nayo?Sasa kwa Elimu aliyo nayo hawezi kuwa mkuu wa wilaya?
onegezea na kihwelu, joyce mukya, na wengine lukuki.Kabla hatujamwangalia Happy tuanze na Rose Kamili, Atropia, Ruth Mollel ............
Kuna gharama ya kuwa kiongozi. Ukiwa kiongozi kama siyo mfalme huwezi kumweka mwanafamilia kwenye nafasi za uteuzi wa uongozi wa kisiasa, ni big NO. Kama ni professional, mwanafamilia atafanya kazi za ujuzi wake. Kama ana uwezo wa uongozi wa kisiasa, aende akapigiwe kura na wananchi lakini siyo kuteuliwa na Baba. Ni ukosefu mkubwa wa kimaadili. Hatuna Rais aliyewahi kufanya hivyo. Kama ni kweli, basi huyu wa sasa atakuwa wa kwanza.Kwa hiyo mnataka ndugu wa viongozi waachwe hata kama wana sifa stahiki..??
Hajasema hivyo yeye alikuwa anatupa tu taarifa tumfahamu vizuri. Hilo la kuwa aachwe au ateuliwe linabaki kwetu wananchi na wachambuzi baada ya kupata taarifa hizo. Kwa maana ya kwamba ukiacha "who knows what?" je hakuna kasababu kengine ka "who knows who?" katika teuzi kama hizi?!Kwahio kama amemlea na anazo sifa za kuteuliwa basi aachwe?
NEPOTISM NEPOTISM NEPOTISM NEPOTISMShida ipo wapi dogo kasoma akili zipo uwezo ni mkubwa unahofu nini?
Hivi kwa mfano hapa kuna chuki gani zimeenezwa?Kusema huyu ni "mtoto" wa kumlea na kumsomesha ni kueneza chuki?Habar ipo km unataka kujua.....ila kiundani zaid ni kuwa mwandish unaeneza chuki za kitoto sana?ok lets assume angekuwa wake wa kumzaa..kosa lake nn hapo?kabla hujasema kuwa ni "nepotism" jalib kulielewa neno vema
Kampuni yako na wewe ndiye mwenye mamlaka ya kuamua mzabuni, hiyo kampuni itakosaje vigezo sasa!Hapo kazi ipo. Hata kama kampuni yangu ndio iliyokizi vigezo isipate tender?