Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majungu ya wapi? Na wanaochangia so was dar pekee. Hata na wa mbeya wapo!Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Dar es salaam ni jiji la majungu
kwani udom kuna nin?naipenda sana jamii forum kwa mambo yake hakuna lisilo wezekana hapa,, tunachambua kwa uwazi,, naona vijana wa facebook mmeibukia huku,, ukweli ni kuwa huu undugu ni mbaya sana kwa manufaa ya taifa hili sikutegemea mzee wa mizuka amchukue na huyo binti wa udom
Ras iringaKapumzishwa aende kumutunza bibi yake huko hvchato
Uzi wa 2016 huu.Kisarawe sio Joketi Tena?
Owk. Hapo sawa.Uzi wa 2016 huu.
Ni shedah, undugulization
Mbona sie wengine tunaziona tarehe za post?Mkuu Maxence Melo lile tatizo ndo hapa linaonekana. Huu uzi ni wa kitambo na siwezi kujia Comments mpya zilizoufukua zinaanzia wapi na utaona wachangiaji wanavyopotoka kiuchangiaji.
Tafadhali kila Reply ionekane muda wake kama zamani.
Hahah dah!Kila mmulika nyoka huanzia miguuni mwake
Wanajf tufanye tafiti tujiridhishe ili jf iwe kisima cha maarifa.BASI SAWA!
Wanajf tufanye tafiti tujiridhishe ili jf iwe kisima cha maarifa.BASI SAWA!
Kwenye Browser hamna ila kwenye App ndo ipo.Mbona sie wengine tunaziona tarehe za post?
Post mpya imeanzia #426 page iliyopita kabla ya hii yako uliyoweka hapa
Mi natumia Laptop, na ni web ya kawaida, sio Simu.Kwenye Browser hamna ila kwenye App ndo ipo.