Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Remote,Nyerere yani waliopokea akiwa kavaa kaptula badae akasema hvyo... daaah ! wana dar in sahihi ?
cc Pasco Mohamed Said Ritz FaizaFoxy
mkuu mbona kataja sifa zake zote na wala hamna alikomponda sanasana akawahimiza vijn waige mfano wakujitahidi ili nao one day waje wafikie ukoUsigeuze JF kuwa chungu cha majungu! Ongelea uwezo wake, sio uhusiano wake...ungejisikiaje kama ungekuwa wewe unaomba kazi sehemu afu unanyimwa simply because wewe una undugu na rais...tuletee CV na track record ya performance sio mijungu
Asante sana kwa taarifa. Hiyo aya yako ya mwisho nimeielewa vizuri sana.Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.
Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happynes Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura
Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe
Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Mara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.
Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happynes Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura
Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe
Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Katika sifa zilizowekwa kwenye hii post ni ipi hiyo inayompa huyu dogo sifa ya kuwa mpiganaji? Ni hiyo kufanya kazi tanroads au ni hiyo ya kuwania viti maalum?
Je mchakato wa selection kwenye hiyo position aliyokuwa nayo huko 'tanroads' ulikuwagaje? Hivi ni nani aliyekuwaga na dhamana na 'tanroads'? Embu msituchoshe na haya mautetezi yenu yasiokuwa na mantiki!
Kumbe zile kelele zote za watoto wa vigogo kuajiriwa kwenye taasisi kubwa kama Benki Kuu hazikuwa na mshiko kama sifa wanazo! Sijui kwa yule kijana wake wa UDOM, naambiwa yeye eti hakuwa na sifa...!Kama ni mwanaye, amesoma vizuri na amewahi kuwa Meneja wa Taasisi kubwa kama TANROADS basi hata huo Ukuu wa Wilaya aliompa ni cheo kidogo, angempa tu hata ukatibu mkuu. Si ana sifa jamani
Tatizo lako nini haswa? Usipojiangalia utapata kisukari mkuuMara baada ya uteuzi wa wakuu wa Wilaya uliofanyika na kutangzwa leo, jamii imeanza kuwachambua na kujuwa historia zao na ushiriki wao katika kumasaidia kazi Mh Rais.
Wananchi wamekuwa na shauku ya kumfahamu na kuelewa historia ya Mkuu wao mpya wa Wilaya Mh. Happynes Senenda William. Kabla ya kuwa DC wa Kisarawe tunaambiwa dada huyu alikuwa Manager wa HR wa TANROADS Mkoa wa Tanga, ni mdada mdogo mwenye elimu ya Masters. Mwaka 2010 aligombea ubunge viti maalumu kupitia mkoa wa Geita lakini hakufanikiwa, mwaka 2015 alipumzika ili kuzunguka na baba kumtafutia kura
Habari zinazidi kupenyeza kuwa Mh.Happyness William ni mtoto wa kulelewa na Rais JPM, amesomeshwa na Rais na amekuwa akiishi na JPM kwa maisha yake mpaka alipopata kazi. Kifupi Mh.Happyness ni "mtoto" wa JPM na kwa sasa ni DC wa Kisarawe
Ama hakika huu ni msimu wa vijana...Vijana mjiibidishe ili muonekane na mpate Wilaya au Mkoa.
Tanroads si ilikuwa ya mheshimiwa?
unakosea hajachaguliwa kwa undugu, uwezo wake ndo uliomfanya achaguliwe ana uwezo sana tangu akiwa TANROADS
kwani hata TANROADS si alienda kwa sababu ya baba *****?
mtu anakulea anakusomesha bado na kazi anakutafutia..dah kumbe mh raisi ana moyo safi sana amejitolea kumlea binti na akamsomesha mpk masters kwa hili mh raisi awe mfano wakuigwa
Naona unatetea upuuzi siyo..?Ni kawaida kwa mtawala, kama wewe ni mfugaji kachunge. Kama mseven kajaza ndugu zake, mpaka mke wake. Unashangaa,!.