The August
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,080
- 2,026
Kweli kabisa.....Mwache ateseke kabisa na hakuna mtu wa kumuonea huruma
In God we trust
Apambane na hali yake tu, mwamhie hiyo ndiyo CCM aliyopambana kuiilinda kwa hali zote.Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)
Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika
Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.
Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.
Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.
NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa atakua alikosea mahali na file lake limechafuliwa either alisaport upinzani somewhere au kuna kitu kimejificha mahali hajakisemamanake hata enzi za kikwete mapesa yalivyokua yanatoka nje nje vile alikosa kutakua na shida mahaliJK kidogo alikuwa na soni huyu wa sasa USO wa mbuzi mwanzo mwisho!
Na kweli ndio maana magu anacheza na akili zao vizuri kwa kuwatumia hawa wa chini kuwabebesha mzigo wasipojiongeza itakula kwaoKweli hapo ndio pakuanzia. Hawa DCs na RCs hawajui kuwa watumishi wanao waweka SAA 48 ndio watakao dili na mafaili yao wakistaafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Karma is b**ct when goes around comes roundMay be karma on work
Ni Hazina Mkuu,kumsaidia kukokotoa upya ili apate stahiki zake...unaweza ongeza nyama kidogo kwenye hii story.mfano ni kitu gani ambacho wanadai kutaka kumsaidia.na ni mfuko gani wa hifadhi ya jami?.tawi gani?
Kama hutajali basi weka hata majina yake matatu hapa
aende kwa mkuu wa wilaya yake au kwa mkuu wa mkoa au mbunge(kama siyo upinzani) wake aeleze hiyo changamoto.au nyinyi watoto wake mmsaduie kuwasiliana na hao Dc au RC.
Hii inakatisha tamaa sana kwa wateule watiifu.
WAO NDO WAMETUFIKISHA HAPA WACHA AISOME NAMBAHeshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.
Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)
Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika
Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.
Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.
Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.
NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.
Natanguliza Shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mkuu Aende Wapi Apate Msaada?Hamna kitu huko mpaka wamuulize Rais kwanza