DOKEZO Mkuu wa wilaya mstaafu anaambiwa ajiongeze ili apewe mafao yake aliyofuatilia kwa miaka kumi sasa

DOKEZO Mkuu wa wilaya mstaafu anaambiwa ajiongeze ili apewe mafao yake aliyofuatilia kwa miaka kumi sasa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
2015 MaDC waliambiwa na Baba Riz watafute hela kadri wawezavyo hata kwa kukopa ili kuhakikisha Chama kinashinda. Kwa ahadi kuwa baada ya Election serikali mpya itawajali kwa UDC na fedha kurudishwa.... Kilichojili ni vilio na kusaga meno...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)

Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika

Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.

Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.

Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.

NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.

Natanguliza Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Apambane na hali yake tu, mwamhie hiyo ndiyo CCM aliyopambana kuiilinda kwa hali zote.
 
Nijuavyo madc hulipwa mpunga wao wote mara baada ya miaka mitano. So huyo alilipwa chake chote na huko alikmalizia hakukidhi mtakwa ya pensheni, so walimpa alichostahili.
Tatizo hapo madaraka hulevya.ile kutumia cruizer saana na kukaa viti vya mbele kila mahali huwafanya waamini hayo ndiyo maisha kumbe mapito. Msaidieni huenda akafanikiwa. Kuna mmoja alikuwa kwetu alikuwa msumbugu sana maofisini baada ya kustaafu. Daily anakuja na suti zake za kitambo kuomba kusaidiwa. Watumishi wa umma yafaa wajipange mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JK kidogo alikuwa na soni huyu wa sasa USO wa mbuzi mwanzo mwisho!
Jamaa atakua alikosea mahali na file lake limechafuliwa either alisaport upinzani somewhere au kuna kitu kimejificha mahali hajakisemamanake hata enzi za kikwete mapesa yalivyokua yanatoka nje nje vile alikosa kutakua na shida mahali
 
AACHE TU KWANI MSHAHARA SIO ALIKUWA ANAPOKEA? aache tu iwe donation yake kwa umma, si unataka ushauri ndio huo sasa
 
unaweza ongeza nyama kidogo kwenye hii story.mfano ni kitu gani ambacho wanadai kutaka kumsaidia.na ni mfuko gani wa hifadhi ya jami?.tawi gani?

Kama hutajali basi weka hata majina yake matatu hapa

aende kwa mkuu wa wilaya yake au kwa mkuu wa mkoa au mbunge(kama siyo upinzani) wake aeleze hiyo changamoto.au nyinyi watoto wake mmsaduie kuwasiliana na hao Dc au RC.

Hii inakatisha tamaa sana kwa wateule watiifu.
 
unaweza ongeza nyama kidogo kwenye hii story.mfano ni kitu gani ambacho wanadai kutaka kumsaidia.na ni mfuko gani wa hifadhi ya jami?.tawi gani?

Kama hutajali basi weka hata majina yake matatu hapa

aende kwa mkuu wa wilaya yake au kwa mkuu wa mkoa au mbunge(kama siyo upinzani) wake aeleze hiyo changamoto.au nyinyi watoto wake mmsaduie kuwasiliana na hao Dc au RC.

Hii inakatisha tamaa sana kwa wateule watiifu.
Ni Hazina Mkuu,kumsaidia kukokotoa upya ili apate stahiki zake...
Ushauri wako utazingatiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heshima kwenu wakuu,
Nimekua shahidi wa michango mizuri humu inavyo fika sehemu husika na kusaidia watu mbalimbali.

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Nina mzee wangu amestaafu kazi serikalini Takribani Miaka kadhaa iliyopita
(Zaidi ya kumi)
Alikua Mkuu wa Wilaya (Wilaya tofauti tofauti kwa Takribani Miaka 16)
Kisha wizara ya Maendeleo ya Jamii hadi kustaafu kwa mujibu wa sheria.

Kinachosikitisha Ni Mafao kiduchu aliyolipwa (Tsh Milion mbili tu)
Baada ya kufatilia sana ilifika akaambiwa ajisaidie ili asaidiwe (yani ili asaidiwe akubali kugawana Mafao yake na hao watakao msaidia)

Kilichofanya nilete jukwaani hapa ni michango yenu na ushauri wenu ili kilio chake kiweze fika mahala husika

Ikiwezekana kuonana na Mhe Rais ,
Kwani amekua akisumbuka kwa zaidi ya Miaka 10 kufatilia bila mafanikio na kwasasa Ni mgonjwa anaelekea kupata ganzi mwilini bila kupata haki zake.

Amekua mtiifu nakusumbuka bila mafanikio.
Documents zote Original anazo endapo zitahitajika mahala husika.

Na kwasasa yupo Temeke anapoishi.

NB ;amepita ngazi husika kwa zaidi ya Miaka 10 bila mafanikio.

Natanguliza Shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
WAO NDO WAMETUFIKISHA HAPA WACHA AISOME NAMBA
AKISOMA ZA KIRUMI AANZE ZA KIARABU, KICHINA, KIEBRANIA, NK

ALAF MWAMBIE ATANYOOOOOOOKA
YEYE NA CCM YAKE WAMEMINYA DEMOKRASIA MASHA MAGUMU NK
 
Acha nae aone joto ya jiwe.
Wakiwa madarakani Hawa watu Ni Kama nyangumi ndani ya bahari.
Hao jamaa wanaotaka kumtoa upepo washikilie hapo hapo.

Metina
 
Back
Top Bottom