Mkuu wa wilaya Ruvuma afumaniwa akimega

Mkuu wa wilaya Ruvuma afumaniwa akimega

Mheshimiwa acha uzushi haikuwa mchana ilikuwa usiku, yaonekana una ajenda ya siri hapo kuilazimisha JF kukuamini kuwa ilikuwa usiku wewe uko Tunduma mambo yametokea kwingine huo ni uzushi KWA NIABA YA MUHESHIMIWA MADAHA napenda kuudhihirishia umma wa Watanzania kuwa mambo yalitokea usiku na hakukuwa na swala la uzinzi Ahsanteni. Mwenye kuamini aamini asie amini ashikilie msimamo wake. Inauma watu wazima kujadili swala hili tujadili maendeleo na mazuri aliyokwisha tenda huyu Mheshimiwa.
Ohoooooo tunamlipa mshahara huyu ana maslahi yetu wananch lazima ajadiliwe mbwa huyu.ILA NAMSAMEHE MAANA YESU ALIPOPELEKEWA MWANAMKE ALIYEDHINI AKAWAAMBIA AMBAE HAJAWAHI TENDA HII DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE!walitimua wote YESU AKAMWAMBIA YULE MWANAMKE AENDE ZAKE ILA ASITENDE DHAMBI TENA.
juma madaha usirudie tena za mwizi arobaini yawezekana ndo kamchezo kako!!
 
Ohoooooo tunamlipa mshahara huyu ana maslahi yetu wananch lazima ajadiliwe mbwa huyu.ILA NAMSAMEHE MAANA YESU ALIPOPELEKEWA MWANAMKE ALIYEDHINI AKAWAAMBIA AMBAE HAJAWAHI TENDA HII DHAMBI AWE WA KWANZA KURUSHA JIWE!walitimua wote YESU AKAMWAMBIA YULE MWANAMKE AENDE ZAKE ILA ASITENDE DHAMBI TENA.
juma madaha usirudie tena za mwizi arobaini yawezekana ndo kamchezo kako!!
Ha ha haaaaaaaa, amekusikia lakini waandishi wa kike waache kujiaibisha kwa kutumia RUSHWA NGONO kupata habari.
 
Mama wa Kwanza una msamehe kwa lipi?
Mtu ana mega muda wa kazi ambapo analipwa pesa zetu wavuja jasho aaah hili haliwezekani lazima awajibishwe atapumnzikaje Guest????
 
Mama wa Kwanza una msamehe kwa lipi?
Mtu ana mega muda wa kazi ambapo analipwa pesa zetu wavuja jasho aaah hili haliwezekani lazima awajibishwe atapumnzikaje Guest????
wewe hujawahi kama kweli basi muajibishe
 
Mama wa Kwanza una msamehe kwa lipi?
Mtu ana mega muda wa kazi ambapo analipwa pesa zetu wavuja jasho aaah hili haliwezekani lazima awajibishwe atapumnzikaje Guest????
Una lako jambo, ni heri kuwa member 100 wasiochangia kuliko kuwa na member kama wewe usieelewa lolote Mheshimiwa Madaha atabaki kuwa mkuu wa wilaya na wewe utabaki kuwa mnunua kahawa na iko siku utapita Wilayani kwake na kumuomba msaada.
 
Mheshimiwa Madaha atabaki kuwa mkuu wa wilaya na wewe utabaki kuwa mnunua kahawa na iko siku utapita Wilayani kwake na kumuomba msaada.

Mkuu hii ishu ni kashfa serikalini na kama huamini we subili uone kama atachukua round huyu anapigwa chini kama ni ndugu yako unajifariji tu.
Anipe msaada gani wkt anajiexpress muda wa kazi<<<>>>
 
Mama wa Kwanza una msamehe kwa lipi?
Mtu ana mega muda wa kazi ambapo analipwa pesa zetu wavuja jasho aaah hili haliwezekani lazima awajibishwe atapumnzikaje Guest????
Hilo hapo nimelikataa kamwe kwa system yetu pesa za kodi zinatosha kulipa mishahara ya walimu tu, zingine ni juhudi ya Serikali kupitia vyanzo vyake mbali mbali. Halafu nyie mnaosema PESA ZENU hampo hapa nchini sijui hiyo kodi mnailipaje.
 
Mkuu hii ishu ni kashfa serikalini na kama huamini we subili uone kama atachukua round huyu anapigwa chini kama ni ndugu yako unajifariji tu.
Anipe msaada gani wkt anajiexpress muda wa kazi<<<>>>
Hapo sasa patakuwa hapatoshi na sidhani kama Raisi anaweza kuhangaika na issue isiyokuwa na ushahidi akaacha issue zenye ushahidi wa kutosha kama Rada, Meremeta na Kagoda.Nipe ushahidi ulionao unaoweza kumfanya Raisi akamfukuza kazi huyu Mheshimiwa kama sio kusikia kwenye vyombo vya habari.
 
Hapo sasa patakuwa hapatoshi na sidhani kama Raisi anaweza kuhangaika na issue isiyokuwa na ushahidi akaacha issue zenye ushahidi wa kutosha kama Rada, Meremeta na Kagoda.Nipe ushahidi ulionao unaoweza kumfanya Raisi akamfukuza kazi huyu Mheshimiwa kama sio kusikia kwenye vyombo vya habari.

We jifariji tu ishu nene hii.
Utasikia pangua pangua na hamisha hamisha na kuwaacha.
 
We jifariji tu ishu nene hii.
Utasikia pangua pangua na hamisha hamisha na kuwaacha.
Kama kutakuwa na pesa za kuchezea,unajua kumhamisha mkuu wa wilaya mmoja kutoka wilaya moja mpaka nyingine na familia yake ni kiasi gani? Kwa issue hii isiyokuwa na kichwa wala miguu iighalimu serikali pesa zote hizo? Unatania.
 
mimi binafsi sioni tatizo, mwanamume ni mtu mzima ( mature) vilevile mwananke. Hakukuwa na kulazimishana, the act was consented. Ingawa alifanya wakati wa kazi kama kweli ni wangapi kati yenu ambao mmesoma hii thread na zinginezo wakati wa kazi ( aliyechelewa treni dakika mbili na aliyechelewa nusu saa waote wamechelewa.

Mwisho kabisa ni wapi tunaweza kupata watakatifu wote tu wenye dhambi, tumo waongo, wezi, wachoyo, walafi, walevi, wanaotukana , mafisadi, wasiokemea ufisadi na wizi, wazinzi kama huyo. Kumjadili huyo hakuwezi kuleta maendeleo kwetu au kwa nchi tumuachie Rev Kishoka ateremshe sala kumuombea na kutuombea wengine labda tatabadilika.
 
Wapendwa

Jamaa kafumaniwa kweli. Ila kusema eti JK amfukuze kazi, mbona atakosa wasaidizi! Tehetehetehetehetehe
 
Wakuu, kwa kiongozi mkubwa kama mkuu wa Wilaya hii ni kadhia kubwa sana. Angekuwa mtu wa kawaida tu basi ingechukuliwa kama udhaifu wa kawaida. Lakini kwa kiongozi, hapana bana. It is too much. Ni public scandal. Lazima achukuliwe hatua. Shida ni kwamba hajawa mfano mzuri kwa jamii pamoja na kwamba hakumlazimisha huyo mtu wake kufanya ngono. Nchi za wenzetu kwa mambo haya ni wakali sana. Hawawezi kuvumilia tabia za aina hii. Naamini rais wetu atachukua hatua stahili dhidi ya huyu bwana.
 
Ah! Jamaa nae kazidi tamaa ya Ngono,inabidi aanzishe kampuni ya kufanya ufuska kama kazi ya serikali haiwezi..!
 
Kwa Tanzania Mkuu wa Wilaya hana hadhi yoyote kwa sababu hata criteria za kuchaguliwa kwao haziko wazi. Mtu yeyote ambaye ni kiherehere kwa mkuu wa kaya anaweza kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya.

Kwa mantiki hiyo usishangae vibaka, wabakaji, na wasiotakiwa kwenye jamii kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya ukuu wa wilaya. Kwa taarifa tu ni kuwa alishawahi kuteuliwa mtu kushika nafasi hiyo kwenye wilaya fulani wakati akiwa na kesi ya kujibu mahakamani, hii ni bongo na kila jambo linawezekana.
 
hawa wadudu wanaoitwa wanaume hawa?basi huyo ni mzinzi tena kaniudhi sana
sijui kiongozi gani mzinzi sasa atawaongozaje wananchi katika mapambano ya kuushinda UKIMWI kama yeye mwenyewe ndo MBA?

hivi ngono ni lazima iathiri maamuzi kazini? kaazi kweli kweli!!!
 
hivi ngono ni lazima iathiri maamuzi kazini? kaazi kweli kweli!!!

Jamani hili nalo la kuuliza? kuna kitabu kimoja cha shule kilikuwa kinaitwa "Ngoswe penzi kitovu cha uzembe" Huu ni ukweli asilimia mia.
Na tatizo watu wanachanganya kati ya ngono na tendo la ndoa ,hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Jamani hili nalo la kuuliza? kuna kitabu kimoja cha shule kilikuwa kinaitwa "Ngoswe penzi kitovu cha uzembe" Huu ni ukweli asilimia mia.
Na tatizo watu wanachanganya kati ya ngono na tendo la ndoa ,hivi ni vitu viwili tofauti kabisa.

Kumbukeni maneno matakatifu " Aliye msafi awe wa kwanza kuokota jiwe kumpiga?????????????????"
 
Hilo hapo nimelikataa kamwe kwa system yetu pesa za kodi zinatosha kulipa mishahara ya walimu tu, zingine ni juhudi ya Serikali kupitia vyanzo vyake mbali mbali. Halafu nyie mnaosema PESA ZENU hampo hapa nchini sijui hiyo kodi mnailipaje.

Labda wanalipa kupitia kitu wanachokiita REMITTANCE. Mdogo wake au shangazi bongo anatumiwa vijisenti vya mchicha ndio hivyo tena vinawafanya waone nao ni wadau huku.
 
Back
Top Bottom