Mkuu wa Wilaya ya Handeni na Godbless Lemma wafanya mkutano wa siasa pamoja Handeni

Mkuu wa Wilaya ya Handeni na Godbless Lemma wafanya mkutano wa siasa pamoja Handeni

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni Msando na Lemma.

Hii ni hatua ya kupongezwa kwa Godbless Lemma, amekiri kwamba siasa sio uadui. Hii pia aliisema Mbowe alipokuwa katika kikao Arusha ambapo alihimiza 4R za Samia za kusameheana na kushirikiana.

Mtu pekee ambaye anaendesha siasa za chuki ndani ya Chadema ni makamu, ambapo amekuwa akihimiza ghasia, na amekuwa akikashifu watu wa jinsia ya kike
Screenshot_20240630-183252.jpg
 
Back
Top Bottom