Mkuu wa Wilaya ya Handeni na Godbless Lemma wafanya mkutano wa siasa pamoja Handeni

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Ni Msando na Lemma.

Hii ni hatua ya kupongezwa kwa Godbless Lemma, amekiri kwamba siasa sio uadui. Hii pia aliisema Mbowe alipokuwa katika kikao Arusha ambapo alihimiza 4R za Samia za kusameheana na kushirikiana.

Mtu pekee ambaye anaendesha siasa za chuki ndani ya Chadema ni makamu, ambapo amekuwa akihimiza ghasia, na amekuwa akikashifu watu wa jinsia ya kike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…