Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Amshusha kwenye Gari Mwandishi wa Habari wa Wapo Radio

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Amshusha kwenye Gari Mwandishi wa Habari wa Wapo Radio

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
 
Mkuu, mwambie huyo jamaa alitakiwa kukodi hiyo pikipiki impeleke huko DC alikokuwa anaenda kwa hela yake, na kudai fedha ya usafiri kwa mwajiri wake. Hakuna sehemu inasema DC ataoa usafiri kwa waandishi wa habari.

Hata kama yeye ni freelance journalist, usafiri ni sehemu ya gharama inayoingia katika malipo yake.

Waandishi wanatakiwa wabadilike. Nakumbuka kuna enzi walikuwa wanadai bahasha za workshop kama participants wengine. Sasa bado ti wanaishi enzi hizo?
 
Mkuu, ulitakiwa ukodi hiyo pikipiki ikupeleke huko DC alikokuwa anaenda kwa hela yako, na kudai fedha ya usafiri kwa mwajiri wako. Hakuna sehemu inasema DC ataoa usafiri kwa waandishi wa habari.

Hata kama wewe ni freelance journalist, usafiri ni sehemu ya gharama inayoingia katika malipo yako.

Waandishi badilikeni. Nakumbuka kuna enzi mlikuwa mnadai bahasha za workshop kama participants wengine. Sasa bado unaishi enzi hizo?

Na kama wewe ni mwandishi makini, mbona hata uandishi wako wa thread upo kiyeboyebo? Herufi kubwa, vituo, sentensi vyote unakoroganya moja kwa moja!
Mkuu Mm Nimeleta Taarifa Tu, Kuna Voice Note Ambayo Sijaweza Kuipandisha Hapa
 
Back
Top Bottom