Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni uandishi wa Mwandishi?Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kwani U-DC unasomewa. Si kila DC ni anavyoona yeye? Anasahau kuwa gari anayotumia si gari binafsi na yeye pale ni mwakilishi wa Rais wetu na mwandishi ni mwananchi. Hatakiwi kudhalilishwa kwa namna yo yote ile kama ambavyo yeye DC pia hatakiwi kudhalilishwa kwa namna yo yote ile.Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Hiyo ndio CCM, baada ya kuwatia mfukoni.Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Waandishi mngekuwa na umoja wote mngeshuka. ila hamna umoja, mwenzenu anashushwa nyie mnaendelea kuandika habari za huyu DC!Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Usitetee rushwa, mnapenda sana rushwa! Ukipanda gari lake lazima utaandika kumsifia yeye na Wapo Radio hizo ndiyo zenu. Wapo Radio nyie hujifanya kuwa ni ya chama cha mapinduzi wakati siyo! Jitegemee kwa usafiri ili uandike habari zisizo a kujikomba.Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kwa nini unatumia vibaya herufi kubwa mahali isiyostahili? huu uandishi sidhani kama umetoka kwa Mwandishi wa habariMkuu Mm Nimeleta Taarifa Tu, Kuna Voice Note Ambayo Sijaweza Kuipandisha Hapa
Kama hujui taratibu za watu kufanya kazi bora kukaa kimya tu, misafara yote ya viongozi huwa kila chombo cha habari kinakuwa na usafiri wake?ina maana lile gari ambalo idara ya mawasiliano ikulu , na wizara nyingine huwa linaandaa kwa ajili ya waandishi huwa hawaelewi?mtu unajipendekeza hadi boss ana ona kero!!!Kwanini uombe lifti?
Mwambieni Boss wenu awanunulie magari ama awape posho kwa ajili ya kukodi magari kwenye kazi zenu.
Wako,
Kitimoto Kitamu
Kama ndoa wewe mwandishi basi DC anywe bia popote pale alipo .Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Hapo ndio rushwa inaanzia hakuna sheria inaruhusu ujinga huo. Ni serikali yenu ya Julius ndio imekuwa na tabia za kichawi. Kosa kubwa sana kupanda gari ya taasisi unayoenda kucover story. Citizen ya Kenya wanajitegemea kwa kila kitu. Hata wewe ambaye umeleta hii habari sio mwanataaluma wa habari. Media house nyingi Tanzania zimewekwa mifukoni na DED, DC, RC na Directors wa mashirika. Kuweni huru andikeni habari bila kubase sehemu yoyote. Huyu DC inabidi apewe joto la jiwe. Nimekuwa karibu na International media wapo huru sana, hauwezi kusikia CNN wanakuja nchini wanapokelewa na migari ya STG.Kama hujui taratibu za watu kufanya kazi bora kukaa kimya tu, misafara yote ya viongozi huwa kila chombo cha habari kinakuwa na usafiri wake?ina maana lile gari ambalo idara ya mawasiliano ikulu , na wizara nyingine huwa linaandaa kwa ajili ya waandishi huwa hawaelewi?mtu unajipendekeza hadi boss ana ona kero!!!
Mwandishi kilaza, DC alifanya vizuri kumshusha! Hivi vyombo vya habari vya siku sijui wanatoa wapi hawa vilaza, kuna watoto flan wapo Mwanahls online, aisee wanapokuwa wanareport tukio aibu huwa naona mimi mtazamajiKama wewe ndio mwandishi uliyeshushwa na huu ndio uandishi wako.
Basi DC katufanyia wepesi sana, TUSINGEKUELEWA
Amewatuma!?Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika
Mkuu Josh J, kwanza asante kutuletea taarifa ya tukio hili.Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kwa uandishi huu wewe ni kilaza na hustahili kutoa habari yo yote!Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.
Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .
Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.
Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .
Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .
Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .
Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .
Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .
Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .
Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?
Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .
Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Wapo radio ni ccm sasa umeshushwaje?!
Acha kuwa Mpumbavu, Mbwa Wewe, Ni Wapi Nimeandika Kwamba Nimeandika Mimi Josh J? Mpumbavu Sana WwKwa uandishi huu wewe ni kilaza na hustahili kutoa habari yo yote!
Duuh! Kumbe una upungufu wa akili kichwani, sasa tukusaidieje! Ungepungukiwa damu tungekusaidia!Acha kuwa Mpumbavu, Mbwa Wewe, Ni Wapi Nimeandika Kwamba Nimeandika Mimi Josh J? Mpumbavu Sana Ww