Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Amshusha kwenye Gari Mwandishi wa Habari wa Wapo Radio

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Amshusha kwenye Gari Mwandishi wa Habari wa Wapo Radio

Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Huu ni uandishi wa Mwandishi?
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kwani U-DC unasomewa. Si kila DC ni anavyoona yeye? Anasahau kuwa gari anayotumia si gari binafsi na yeye pale ni mwakilishi wa Rais wetu na mwandishi ni mwananchi. Hatakiwi kudhalilishwa kwa namna yo yote ile kama ambavyo yeye DC pia hatakiwi kudhalilishwa kwa namna yo yote ile.
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Hiyo ndio CCM, baada ya kuwatia mfukoni.
 
Mwandishi huyu kumbe anaandika story wakati mkuu wa wilaya anataka kwenda na waandishi wa HABARI.
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Waandishi mngekuwa na umoja wote mngeshuka. ila hamna umoja, mwenzenu anashushwa nyie mnaendelea kuandika habari za huyu DC!
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Usitetee rushwa, mnapenda sana rushwa! Ukipanda gari lake lazima utaandika kumsifia yeye na Wapo Radio hizo ndiyo zenu. Wapo Radio nyie hujifanya kuwa ni ya chama cha mapinduzi wakati siyo! Jitegemee kwa usafiri ili uandike habari zisizo a kujikomba.
 
Kwanini uombe lifti?

Mwambieni Boss wenu awanunulie magari ama awape posho kwa ajili ya kukodi magari kwenye kazi zenu.

Wako,

Kitimoto Kitamu
Kama hujui taratibu za watu kufanya kazi bora kukaa kimya tu, misafara yote ya viongozi huwa kila chombo cha habari kinakuwa na usafiri wake?ina maana lile gari ambalo idara ya mawasiliano ikulu , na wizara nyingine huwa linaandaa kwa ajili ya waandishi huwa hawaelewi?mtu unajipendekeza hadi boss ana ona kero!!!
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kama ndoa wewe mwandishi basi DC anywe bia popote pale alipo .

Kwa uandishi huu hata ungeenda kuandika ungeandika uchafu tu,

Kwanza tangu lini mwandishi akapewa lifiti na mtu anayetaka kwenda kuandika habari zake?

Si ungeegemea upande wake?


Wewe huna tja yoyote.Bora ulivyoshushwa ungeenda kumpamba tu.
 
Kama hujui taratibu za watu kufanya kazi bora kukaa kimya tu, misafara yote ya viongozi huwa kila chombo cha habari kinakuwa na usafiri wake?ina maana lile gari ambalo idara ya mawasiliano ikulu , na wizara nyingine huwa linaandaa kwa ajili ya waandishi huwa hawaelewi?mtu unajipendekeza hadi boss ana ona kero!!!
Hapo ndio rushwa inaanzia hakuna sheria inaruhusu ujinga huo. Ni serikali yenu ya Julius ndio imekuwa na tabia za kichawi. Kosa kubwa sana kupanda gari ya taasisi unayoenda kucover story. Citizen ya Kenya wanajitegemea kwa kila kitu. Hata wewe ambaye umeleta hii habari sio mwanataaluma wa habari. Media house nyingi Tanzania zimewekwa mifukoni na DED, DC, RC na Directors wa mashirika. Kuweni huru andikeni habari bila kubase sehemu yoyote. Huyu DC inabidi apewe joto la jiwe. Nimekuwa karibu na International media wapo huru sana, hauwezi kusikia CNN wanakuja nchini wanapokelewa na migari ya STG.
 
Kama wewe ndio mwandishi uliyeshushwa na huu ndio uandishi wako.

Basi DC katufanyia wepesi sana, TUSINGEKUELEWA
Mwandishi kilaza, DC alifanya vizuri kumshusha! Hivi vyombo vya habari vya siku sijui wanatoa wapi hawa vilaza, kuna watoto flan wapo Mwanahls online, aisee wanapokuwa wanareport tukio aibu huwa naona mimi mtazamaji
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Mkuu Josh J, kwanza asante kutuletea taarifa ya tukio hili.
  1. Sio kazi ya DC, or mtoa habari yoyote kuwapatia waandishi wowote usafiri. Kazi ya chombo cha habari na waandishi wa habari ni kutafuta habari, kazi ya serikali na viongozi wake ni kutoa habari.
  2. Kufuatia umasikini mkubwa uliotopea unaoikabili sekta ya habari Tanzania, sio vyombo vyote vina usafiri na sio waandishi wote wana usafiri, hivyo mtu mwenye tukio lake ili liwe covered, itampasa kuwa facilitate waandishi ama kwa kuwapa physical transport au kuwapatia tule tu bahasha za usafiri. But this is a favour not a right. Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa - Pasco wa JF!
  3. Kwenye ziara za viongozi mikoani, RAS hutoa gari la media. This is favour kwa waandishi tuu walio alikwa, ikitokea mwandishi amejiunga msafara bila kualikwa, akibainika, anashushwa ili kuondoa uwajibikaji kwa chombo ambacho hakijaalikwa.
  4. Kufuatia umasikini uliotopea kwenye media, baadhi ya waandishi ambao hawakualikwa, hujialika kwenye misafara na wakati wa kugawana posho ya usafiri, wanalazimisha lazima na wao wapate, hivyo ili kuzuia tusionane wabaya mbele ya safari, bora kumshusha kabla ya kufika na kuachana nae.
  5. Mimi ni muumini wa uwezeshaji waandishi, na zile bahasha, mimi ndio msambaza.
  6. Siungi mkono kabisa tabia za waandishi kujialika kwenye closed events. Waandishi wako huru kuhudhuria all public events, lakini kwa closed events, ni lazima waalikwe. Kama hujaalikwa ni halali kufukuzwa au kushushwa njiani.
  7. Siungi mkono tabia ya waandishi kuvamia events za watu bila kualikwa na wakati wa lunchtime wao ndio wa kwanza na wanavyojaza hizo sahani misosi...
  8. Siungi mkono waandishi kwenye hafla za mchapalo, kufakamia vinywaji na within no time wanakuwa wako njwii!.
  9. Siungi mkono tabia ya waandishi kugombea posho kwenye events. Huku ni kujidhalilisha. Media, Tumedhalilishwa!, Tumejidhalilisha!. Ni Matokeo ya Sheria Mbovu, Umasikini, Dawa ni Kuunganisha Habari na UtangazajI, Tulipwe Fungu Nene!.
  10. Mwisho napigania usawa wa binadamu kwa waandishi, mkifanya tukio, mkalipana posho nene nene na nono nono, waandishi nao wawe treated the same. Sio mnahudhuria seminar, wenyewe mnalipana sitting allowances nene nene, waandishi mnawapa vibahasha vilivyo kondeana. Uhuru wa Habari Tanzania: Je, Vyombo Viko Huru? Je, Waandishi wa Habari wako huru? Wanathaminiwa?.
P
 
Anaandika mwandishi wa habari wa wapo Radio.

Hapo wakati Tuna chati na Dc . Kama Alikuwa Hataki mimi niende katika Ziara yake Ni Vema Angesema kwamba Sitaki Mwandishi Namimi nisingepoteza Muda wangu .

Maana kwa Majibu hayo niliamini kuwa Alikuwa Tayari mimi niwe nae katika ziara yake ila tatizo ni Usafiri tu . Na ndio maana nilijiamini . Na nikaomba Nisafirie Gari la Afisa utumishi.

Kitendo Alichokifanya Dc . cha kunikatalia na kunishusha Katika Msitu mkubwa Na kunikodia Pikipiki ili nirudi Home Hakikuwa cha kiuungwa . .

Waandishi sasa tunajiuliza hivi Stor Anazo paswa kuzijibia Dc Tutamwendea nani wakati yeye hataki waandishi? .

Sasa tutalazimika kubalance Stor Za kilwa kwa RC LINDI .

Na Akituuliza sisi tutamwambia ukweli .

Tunapo Andika Ayafanyayo Dc inamaana tuna mpaisha yeye na pia tunamweleza raisi kwamba Mteule wake Anawajibika kwa wananchi na ndio tegemeo na Agizo la Rais kwa Ma Rc Na Ma Dc .

Sikutegemea kwakweli na Sija ridhika alichofanya Zainabu kwangu .

Aliogopa nini mimi kufika mkutanoni?

Mbona Sijawahi kuandika Stor Ya kumchafua?
Angeniacha nifike mkutanoni Na mimi ninaakili nikiona Stor Haiko sawa Siwezi kuindika . Aliogopa nini ? .

Mwisho ya yote Mimi Namwachia MUUMBA NA NAMTAKIA Kazi njema .
Kwa uandishi huu wewe ni kilaza na hustahili kutoa habari yo yote!
 
Kwa uandishi huu wewe ni kilaza na hustahili kutoa habari yo yote!
Acha kuwa Mpumbavu, Mbwa Wewe, Ni Wapi Nimeandika Kwamba Nimeandika Mimi Josh J? Mpumbavu Sana Ww
 
Acha kuwa Mpumbavu, Mbwa Wewe, Ni Wapi Nimeandika Kwamba Nimeandika Mimi Josh J? Mpumbavu Sana Ww
Duuh! Kumbe una upungufu wa akili kichwani, sasa tukusaidieje! Ungepungukiwa damu tungekusaidia!
 
Tena umekodiwa na Bodaboda shukuru Mungu maana wengine wangekuacha utembee kwa mguu, wandishi wa Wa bongo njaa kali sana
 
Back
Top Bottom