Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Charles Mwanziva tarehe 30 Januari 2023 amewasili rasmi Ludewa.
Victoria Charles Mwanziva alipokelewa kwa kishindo na Viongozi, Skauti wa Shule ya Sekondari Chief Kidulile na Wananchi mbalimbali wa Wilaya ya Ludewa.
Aidha, Mhe Victoria Charles Mwanziva amefika na kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere. Baada ya kukabidhiwa Ofisi, Victoria Charles Mwanziva alifanya kikao na kamati yake ya ulinzi na usalama ya Wilaya.
Aidha, Victoria Charles Mwanziva aliwasili katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukutana na viongozi mbalimbali wa CCM na Idara zake (UWT, UVCCM na Wazazi) wa Wilaya ya Ludewa.
"Ludewa ya Utalii. Uchumi wa Chuma kwa Maendeleo Yetu."
#LudewaYetu
#LudewaYaSamia
#UongoziShirikishi
#KaziIendelee
Victoria Charles Mwanziva alipokelewa kwa kishindo na Viongozi, Skauti wa Shule ya Sekondari Chief Kidulile na Wananchi mbalimbali wa Wilaya ya Ludewa.
Aidha, Mhe Victoria Charles Mwanziva amefika na kukabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Andrea Tsere. Baada ya kukabidhiwa Ofisi, Victoria Charles Mwanziva alifanya kikao na kamati yake ya ulinzi na usalama ya Wilaya.
Aidha, Victoria Charles Mwanziva aliwasili katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukutana na viongozi mbalimbali wa CCM na Idara zake (UWT, UVCCM na Wazazi) wa Wilaya ya Ludewa.
"Ludewa ya Utalii. Uchumi wa Chuma kwa Maendeleo Yetu."
#LudewaYetu
#LudewaYaSamia
#UongoziShirikishi
#KaziIendelee