Mkuu wa Wilaya ya Mafia: Watoto 15 wamelawitiwa na Ustadhi wa Madrasa Kisiwani Mafia

Cc
Faiza Foxy
The Boss
Bichwa Komwe
Malaria
 

Inaskitisha sana.
sheria za tz hukumu kwa mfir@ji ni kifungo cha maisha jela, ushauri wangu kwa serikali ni kujenga magereza mapya
 
Uislamu, madrasa,nilishasema hili dhehebu hili!!
 
Hili tatizo limeenea kila sehemu.
Haijalishi dini wala kabila,hili ni janga kubwa sana la kitaifa.
Na mbaya zaidi ripoti zinasema ndugu wa karibu ndio wanaongoza kufanyia watoto ukatili wa kingono kuliko watu wa nje.
Kiufupi wazazi tuwe makini na tujitahidi kukemea hili.
Nahisi serikali ingetoa adhabu kali ya kuogofya ili kulidhibiti ili tatizo.
 
Wenye dini ya haki, wanapita huu uzi km hawauoni vile.
Kama mtu anakula hadharani kipindi cha ramadhani, mashekh wanabeba mafimbo kuchapa watu. Watashindwa kulawiti?
FaizaFoxy
Inasikitisha sana mkuu, hawa ni viumbe wa ajabu sana. Kwenye huu uzi wanaingia mitini. Wanaona ni mara mia wasile kitimoto, ila watindue ndogo za watoto wa watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…