The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Hawa watu Kwa nini wasiwe wananyongwa?View attachment 3006679
Inasikitisha kwa kweli kwa kiongozi wa dini kufanya uchafu huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watu Kwa nini wasiwe wananyongwa?View attachment 3006679
Inasikitisha kwa kweli kwa kiongozi wa dini kufanya uchafu huu.
Kwa sababu wamefanya Ugaidi?Hawa watu Kwa nini wasiwe wananyongwa?
Nangu Nyau ushawahi kumuua gaidi hivyo?Ushahidi kamili ukigundulika, chukua huyo sheikh piga kiberiti aungue abaki majivu tu.
Wakifanya kwa watoto wao ndiyo inakubalika? Jaribu kujenga hoja nzuri.Umejuaje hawafanyi kwa watoto wao?
DiniWenye dini ya haki, wanapita huu uzi km hawauoni vile.
Kama mtu anakula hadharani kipindi cha ramadhani, mashekh wanabeba mafimbo kuchapa watu. Watashindwa kulawiti?
FaizaFoxy
Kuua mpumbavu sio kazi ngumu sana.. hakuna majuto maana uliyemuua ni mpumbavu.Nangu Nyau ushawahi kumuua gaidi hivyo?
Kwani kifungo cha maisha ni adhabu ndogo? Tatizo liko kwa wazazi na jamii kwa ujumla. Watu hawako karibu na watoto wao. Kwa namna yoyote ni vigumu sana mtoto kufanyiwa hivyo bila mzazi kujua kama yuko karibu naye. Mzazi inatakiwa umfanye mtoto wako awe rafiki yako. Awe confidence kukumbia chochote bila kuogopa utamkaripia au kumpiga. Ndiyo maana tunasema kuwa kuchapa watoto ni jambo baya.Hawa watu Kwa nini wasiwe wananyongwa?
Kuna mwingine wa kuitwa Etugrul Bey nae yuko vizuri kwenye hizi mambo aje atoe ufafanuziDini
ya kweli
Wale wa proud to be musilim🤷
Ulawiti ni zaidi ya ugaidiKwa sababu wamefanya Ugaidi?
Sana.Harafu unakuta mtu anasema muwahurumie wafungwa,duu Huwa sielewi kabisaKwani kifungo cha maisha ni adhabu ndogo? Tatizo liko kwa wazazi na jamii kwa ujumla. Watu hawako karibu na watoto wao. Kwa namna yoyote ni vigumu sana mtoto kufanyiwa hivyo bila mzazi kujua kama yuko karibu naye. Mzazi inatakiwa umfanye mtoto wako awe rafiki yako. Awe confidence kukumbia chochote bila kuogopa utamkaripia au kumpiga. Ndiyo maana tunasema kuwa kuchapa watoto ni jambo baya.
Kwa hiyo sheikh ni mlokole?View attachment 3006690
Japo siamini kama dini huwa zinawatuma kufanya mambo ya ovyo ,ila nina uhakika waalifu wengi hujificha kwenye mgongo wa dini. Hasa hawa wanaojiita walokole.
Kwa hio gaidi huyo alievaa kofia ya Mwalimu wa Madrassa apigwe Mawe hadharani mpaka afe au afungwe jiwe kubwa kisha atoswe bahariniKuua mpumbavu sio kazi ngumu sana.. hakuna majuto maana uliyemuua ni mpumbavu.
Sasa utajutia nini kumuua mpumbavu anayelawiti watoto 15 wa wenzie, kifupi ameharibu historia za watoto wa wenzie.
Itakua sina akili mkuu.Kwa hiyo sheikh ni mlokole?
Au hauna akili?
Kweli na yeye ni gaidi kumbe Mohamed Abubakar ya ukweli haya?Kuna mwingine wa kuitwa Etugrul Bey nae yuko vizuri kwenye hizi mambo aje atoe ufafanuzi