Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Albert Msando apata ajali ya gari

Ila mama D tuambiane ukweli, Msando sio baba D kwel!!??

Ni mawazo yngu TU yenye uwalakini, kwa hyo usinikasirikie, nmeona umejitolea kumpambania Sana kwa nguvu zote!

Msando ni damu yangu😍
 
Madude ya millioni 100! Yanabomolewa namna hii, tatizo nchi hii misafara ni mikubwa inatumia pesa nyingi.

Yaani viongozi wanatumia pesa nyingi kwenye misafara kuliko msaada na huduma wanazotoa huko wanapoenda

vp kuhusu msafara wa biden
 
Kugongana uso kwa uso means gari jingine lilitokea the opposite direction, swali linakuja ilikuwaje magari ya upande wa pili yakaruhusiwa wakati wa msafara wa PM? Wamesahau Sokoine alipata ajali hukohuko Dakawa kwa kuruhusu gari za kiraia kupishana na msafara?
 
hapa tatizo/kesi lipo kwa OCD na RPC kwa uongozaji mbaya wa msafara au Taasisi iliyomuazima gari DC dereva aliyepewa majukumu hana weledi wa kazi za msafara
Kama azma ilitimia utasikia wamehamishwa na kupandishwa vyeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…