TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Avod Mmanda afariki Dunia. Atazikwa Mtwara na Serikali na wahudhuriaji wasiozidi 10

View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advo Evord Mmanda afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.

Stay tuned...
Mwaka mbaya sana huu jamani.
 
Haters watasema ni corona....RIP DC
Inaweza kuwa ni Corona au isiwe.

China kuna visa zaidi ya 1000, awali walijua kuwa ni vifo vilivyosababishwa na matatizo ya high blood pressure na kisukari lakini uchunguzi wa baadaye wamegundua ilikuwa ni coronavirus. Halikadhalika US, nao wamegundua hivyo hivyo kwa baadhi ya vifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1431852
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Advo Evord Mmanda afariki Dunia alfajiri ya leo.

Aliwahi kulazwa Muhimbili miezi 4 iliyopita kwa presha akaruhusiwa.

Mauti imemkuta akiwa kalazwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Mtwara Ligula, akisumbuliwa na maradhi ya Moyo.

Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na rais Magufuli 19 Dec 2016 akichukua nafasi ya Dkt. Khatib M Kazungu ambaye alihamishiwa Wizara ya Fedha.

Wakili Msomi Mmanda aliyekua pia mjumbe wa Bunge la Katiba. Katika Bunge hilo, aliteuliwa na MWENYEKITI wa Muda wa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kama mmoja ya wajumbe 20 Watakaomshauri ili kuboresha utendaji.

2015 alitangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Rombo kupitia CCM.

Stay tuned...

Innalillah wainnailayhy rajiun, Poleni ya Kupoteza
 
Inaweza kuwa ni Corona au isiwe.

China kuna visa zaidi ya 1000, awali walijua kuwa ni vifo vilivyosababishwa na matatizo na high blood pressure na kisukari lakini uchunguzu wa baadaye wamegundua ilikuwa ni coronavirus. Halikadhalika US, nao wamegundua hivyo hivyo kwa baadhi ya vifo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa ila pia china huko wametoa ripoti ya kuover estimate vifo vya corona wakati wengine sio corona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom