TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia

Za kuambiwa changanya na za kwako na hio ndio maana yake.

Cha ajabu mtu anayekupa ushauri huo yeye katuma mzigo ufuatwe toka kwa babu wa madagascar🤣🤣🤣
 
Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
COVID 19 anacheza ndani ya kasari la Malkia wa Uingereza itakuwa Chato? Unafikiri wakati huu nani ambae yupo na usalama 100% kuwa hawezi kukumbwa na janga la corona?

Usitukane wakunga na uzazi ungalipo - Bi Kidude.
 
Wenyw hawatak washatuona kama ile misukule yao wanayoifuga.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hawa ni wa kupuuza. Tusiwaache kutuamulia sisi na wapendwa wetu na taifa zima kuangamia kwa sababu ya maslahi yao binafsi au ujinga wao

Wasitutoe kwenye mada.

Tunataka mkakati wa kuutokomeza ugonjwa huu hapa nchini. Kama wao hilo hawataki watuambie wanataka nini.
 
COVID 19 anacheza ndani ya kasari la Malkia wa Uingereza itakuwa Chato? Unafikiri wakati huu nani ambae yupo na usalama 100% kuwa hawezi kukumbwa na janga la corona?

Usitukane wakunga na uzazi ungalipo - Bi Kidude.
kasri.

hizo shule muwe munasomea vitu vya maana
 
Siku hizi tatizo la upumuaji limegeuka kua kuugua kwa muda mfupi, ni terms tofauti ila jua wanamaanisha kitu kilekile corona
 
COVID 19 anacheza ndani ya kasari la Malkia wa Uingereza itakuwa Chato? Unafikiri wakati huu nani ambae yupo na usalama 100% kuwa hawezi kukumbwa na janga la corona?

Usitukane wakunga na uzazi ungalipo - Bi Kidude.
Ya uingereza, USA hayatuhusu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kaa Ndani tu. Unataka. Mkakati Gani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MANINAA NCHIHII
UKIFA BAADAYAMDA MFUPI
COVID AKA UPUMUAJI
MUDA MREFU NGOMAAA
WASEMEMDAWAKATIKATIBASI TUWASIITIRI MAREHEMU
 
Kifo cha huyu DC ndio kimefanya bingwa kakimbilia Rubondo ...sasa atakimbia mpaka lini >? kuna kazi anatakiwa awepo Situation Room kama CIC ..Ikiwemo Corona na kinachoendelea mpakani na Msumbuji ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…