adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
Umenifanya mpaka nimwega chai yangu.hahahahahahaha wee jamaa.
And the Lizard is going......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
900 inapendeza zaidi.Tulipumzika siku mbili tatu wameanza tena kupuputika ni wiki nyingine tena ya waheshimiwa
Haya maafisi ya kijani ya Lumumba na yafe yote kisha kwenda moja kwa moja kuozea kwenye moto wa milele kwa baba yao ibilisi!
Mbona zimeshachukuliwa na Nyungu zinaendelea. Unataka zipi
Mkuu covid -19 ni homa na wengi walio hatarini ni ambao wapo na magonjwa kama kisukari na mengine makubwa kubwa,so covid ndio inakuwa sababu ya kifo kwa maana ya kuwa ndio inakuwa inapelekea kifo baada ya mgonjwa kuwa na magonjwa mengine.Acha kupotesha Dc huyu alikuwa akisumbuliwa na kisukari ni wiki sasa alikuwa akisumbuliwa na kisukari icho kwa siku za karibuni kikawa kimezidi kupanda mpaka kufikia 29 ambapo ndio kimepelekea na kifo chake na siyo hiyo korona au kujifukuzia kama unavyo danganya watu
Sent using Jamii Forums mobile app
AsantiMungu anaamua kutuondolea ma-ccm kwa namna ya kipekee...
Dear corona chapa kazi baba usitishwe na mtu..
Sent using Jamii Forums mobile app
KwahiyoAs usual, tutapewa taarifa kuwa amefariki kutokana na matatizo ya kupumua.
Lo! ni hatari hayaGeita sheikh
Rip
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..