TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia

TANZIA Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoani Geita, Hamim Buzohera Gwiyama afariki dunia

Acha kupotesha Dc huyu alikuwa akisumbuliwa na kisukari ni wiki sasa alikuwa akisumbuliwa na kisukari icho kwa siku za karibuni kikawa kimezidi kupanda mpaka kufikia 29 ambapo ndio kimepelekea na kifo chake na siyo hiyo korona au kujifukuzia kama unavyo danganya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa za ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Daktari. Wewe unachofanya hapa ni kuongea UONGO
 
Mambo haya yanafikirisha:

1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk

Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.

Kweli haya hayahusiani na haka kaupepo?

Rais Magufuli dereva wetu kwa hakika unatupeleka kubaya.
 

Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .


Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Naona bwana CORONA akiwa na silaha yake SARS anazidi kuchanja mbuga na kufika Geita anasafiri huyu jamaaaa
FB_IMG_15887458262184337.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom