Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Na iwe kama usivyotaka,Ameeeen.Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19[emoji1][emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na iwe kama usivyotaka,Ameeeen.Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19[emoji1][emoji1]
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
dah poleni na kule Chalinze pia
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Geita sheikh
we si uko na mbuzi tulia beberu akupandeAcha ujinga na utoto utakuwa umetumwa na mabeberu
Dar hakuendeki;labda KANTALAMBESasa tutarudi Dar. Njoka kaingia ndani.
Nampongeza atakayeteuliwa soon... ajira njenje.
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Najiuliza tu umewaza nn hadi kumtaja jamaa kweli JF kuna vituko?Pasco, nafasi ya mwisho kwako,dakika za lala salama.
Kujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
Mimi ndiyo beberu mwenyeweAcha ujinga na utoto utakuwa umetumwa na mabeberu
Goma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!
Comment ya namna hi ni hatari,....kifo hakina mwenyeweTulipumzika siku mbili tatu wameanza tena kupuputika ni wiki nyingine tena ya waheshimiwa
wewe nawe unatudanganya, tuache vipi kumuamini mtoa post tukuamini weweAcha kupotesha Dc huyu alikuwa akisumbuliwa na kisukari ni wiki sasa alikuwa akisumbuliwa na kisukari icho kwa siku za karibuni kikawa kimezidi kupanda mpaka kufikia 29 ambapo ndio kimepelekea na kifo chake na siyo hiyo korona au kujifukuzia kama unavyo danganya watu
Sent using Jamii Forums mobile app