Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,639
- 2,752
Geita sheikhHv chato iko ndani ya mkoa wa Geita au kagera?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Geita sheikhHv chato iko ndani ya mkoa wa Geita au kagera?
Kwa hiyo umechukia mimi kuomba Covid 19 isitende muujiza huko karibu na Chato?Acha ujinga na utoto utakuwa umetumwa na mabeberu
We Nyang'au una peni na karatasi lakiniPoleni sana
Tuliza kijambio!!Una maanisha nini ?
Kaugonjwa kadogo,tupige kazi!Una maanisha nini ?
Kule kwa Sabufa kumetulia naonaTulipumzika siku mbili tatu wameanza tena kupuputika ni wiki nyingine tena ya waheshimiwa
Kifo hakina muheshimiwa hata hao wanoitwa wasiojulikana nao kuna siku watakufa tu pamoja na anayewatumaTulipumzika siku mbili tatu wameanza tena kupuputika ni wiki nyingine tena ya waheshimiwa
Mzigo umeshatua nyumbani,sijui tunaenda wapi tena!Hivi Chato iko ndani ya mkoa wa Geita au Kagera?
Ohoo dude lishatia timu Chato hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19[emoji1][emoji1]
😂😂😂Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
Inna Lilahi Wainna Ilayhi Rajiuun
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Jamani humu ndani kuna kupunguziana stress eee
aisee ulikuwepo wakati hawa watu wanajifukiza!!!!!!! au ni umbeya tu tuwaache wapumzike!Ndassa, Mahiga na huyu DC wa Nyang'wale. Hawa wamekufa baada ya KUJIFUKIZA NA KUBANWA PUMZI.