Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,616
Ni muda muafaka sasa Mkoa wa Geita wauweke karantini. Alianza kufariki Hakimu na sasa amefuata DC anayehudhuriaga na kuongoza vikao vya ulinzi na usalama vya wilaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni ugonjwa tuseme tu, ila hiki ulichoandika ni uongo mkuu.Kujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
Tumewapoteza wafuatao kizembe kabisa baada ya kuharibu njia za hewa kwa kukifukiza.
1. Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera Bwana Pendo
2. Mbunge Richard Ndassa
3. Waziri Dkt. Mahiga
4. Huyu DC wa Nyang'wale
Pia kuna jopo la watu kibao wamenusurika kufa kutokana na janga hili!
Hivi Chato iko ndani ya mkoa wa Geita au Kagera?
Rip DC!
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Badaa ya kuugua "kwa muda mfupi"🙁Upumuaji huo au ?
Tuna imani na c19Naona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄
KITUO KINACHOFATA.......... NINaona mzigo umetua Geita, kituo kinachofuata sijui wapi!
Wewe ni mkristo? Kama ndio, imeandikwa, "Usimlaani mfalme, la, hata kwa wazo lako, maana ndege wa angani watalipeleka."Mdogo mdogo mtoa roho anakaribia kwenye mamlaka ya uteuzi.
Kwa sasa wateule kwanza.