Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Acha maneno piga Nyungu.mKujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha maneno piga Nyungu.mKujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
Ni Corona mkuu. Take it ease mwambie asijifukize kama huyu DC. Akipata dalili aishi kikawaida afanye mazoezi na vile vi dubuwasha sijui mchai chai vya kujifukiza yeye atumie kama kimiminika.Huku kijijini kwetu jamanii,,Chonde Chonde isiwe covid 19..makee ukoo wangu mzima upo huko,,na two weeks mshua alikua na huyu Mheshimiwa! ....gademit
Lakini Dr Faustine,Naibu Waziri si alionya kuhusu hii njia ya kujifukiza!Kujifukiza kunaua watanzania tena wenye vyeo wamefuata ushauri mbovu wa Rais Magufuli. Tunamaliza watanzania wenzetu aslani.
DSM ndio WUHANI umenichekesha ila ndio ukweli wenyeweAtakimbilia wapi wakati kote hapafai ,Dsm ndio Wuhan penyewe.
Kuugua ghafla
Hilo likitimia tutashukuru maana Nahodha wetu anaweza kurejea chomboni.Tutaanza kuongea lugha moja hivi punde.Goma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!