Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Au ame over doze.Itakuwa changamoto ya upumuaji. Alichelewa kujifukiza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au ame over doze.Itakuwa changamoto ya upumuaji. Alichelewa kujifukiza.
Kakimbia tena Mkuu. Pale alipokimbilia mwanzo hayupo tena maeneo yale.Mdogo mdogo mtoa roho anakaribia kwenye mamlaka ya uteuzi.
Kwa sasa wateule kwanza.
Huo ni upotoshaji jamaa hajafariki
Mungu anaamua kutuondolea ma-ccm kwa namna ya kipekee...
Dear corona chapa kazi baba usitishwe na mtu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Ataeda wapi?? ulipo tupo....coronaGoma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!
Umetabiri au umepost baada ya maana kweli imetokeaGoma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Goma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!
Mambo haya yanafikirisha:
1. Hawakuwahi kufa wakuu wa wilaya 2 ndani ya wiki 3.
2. Hawakuwahi kufa wabunge 3 ndani ya wiki 3.
3. Rais hakuwahi kubakia kwao kwa zaidi ya mwezi mzima.
4. Hatukuwahi kupata ugonjwa shughuli zote za shule zikastishwa.
5. Hatukuwahi kuwa na mazishi ya kusimamiwa na serikali.
6. Hatukuwahi kuwa na mazishi waombolezaji wasiozidi 10
7. Nk nk
Yote haya yanatokea katika kipindi hicho hicho.
Kweli haya hayahusiani na haka kaupepo?
Rais Magufuli dereva wetu kwa hakika unatupeleka kubaya.
No where to run.Atarudi tu magogoni mda si mrefuGoma limetua Geita,kuna mtu ataikimbia Chato muda si mrefu!
GeitaHivi Chato iko ndani ya mkoa wa Geita au Kagera?
baada ya kukimbia dar na dom akitoka chato atakimbilia kwao nyamutareNaona Covid 19 inacheza karibu na Chato. Usije ukatenda Muujiza Eeh Covid 19😄😄