Makonde plateu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 1,443
- 3,480
Merhaba!
Wakuu Kuna vitu kwenye hii nchi vinakera na kuchukiza sana na kuumiza inakuaje mkuu wa wilaya moja nchini ya songwe eti bado yuko kazini mpaka sasa japokuwa ana tuhuma nyingi mojawapo ni kufanya ukatili wa kijinsia kumpiga mwanamke au msichana na kumjeruhi still mpaka sasa yuko ofisini na hii nchi ya hovyo sana.
Waziri wa wizara husika hamna action yoyote Ile ambayo amechukua,jeshi la polisi hamna action yoyote aliyochukua na hata pia bosi wake hamna action yoyote aliyochukua na hata wananchi wa huko hamna action action yoyote Ile walioichukua! Idiot
Wananchi wa huko nao ni waoga ila kwenye vijiwe Vya kahawa kutwa kujimbwafai tu watu wa songwe nmnakera sana hovyo kabisa nyie.
Mashirika ya kupinga ukatili wa kijinsia ipo kimya hovyo kabisa wangekuwa watu wengine tayari mngepiga kelele mnachukiza sana hii nchi Ina double standard sana.
Huyu mkuu wa wilaya wa Songwe anaogopwa? Inakuwaje mtu au mtumishi wa umma anafanya huu ujinga na bado yupo kazini nyie mijitu mpoje? Je wale wanaharakti wa kupiga kelele au wanajiita feminist wako wapi?
Wakuu Kuna vitu kwenye hii nchi vinakera na kuchukiza sana na kuumiza inakuaje mkuu wa wilaya moja nchini ya songwe eti bado yuko kazini mpaka sasa japokuwa ana tuhuma nyingi mojawapo ni kufanya ukatili wa kijinsia kumpiga mwanamke au msichana na kumjeruhi still mpaka sasa yuko ofisini na hii nchi ya hovyo sana.
Waziri wa wizara husika hamna action yoyote Ile ambayo amechukua,jeshi la polisi hamna action yoyote aliyochukua na hata pia bosi wake hamna action yoyote aliyochukua na hata wananchi wa huko hamna action action yoyote Ile walioichukua! Idiot
Wananchi wa huko nao ni waoga ila kwenye vijiwe Vya kahawa kutwa kujimbwafai tu watu wa songwe nmnakera sana hovyo kabisa nyie.
Mashirika ya kupinga ukatili wa kijinsia ipo kimya hovyo kabisa wangekuwa watu wengine tayari mngepiga kelele mnachukiza sana hii nchi Ina double standard sana.
Huyu mkuu wa wilaya wa Songwe anaogopwa? Inakuwaje mtu au mtumishi wa umma anafanya huu ujinga na bado yupo kazini nyie mijitu mpoje? Je wale wanaharakti wa kupiga kelele au wanajiita feminist wako wapi?