Mkuu wa Wilaya ya Temeke, chunguza kampuni ya Wachina inayojenga Mtaro Mkubwa wa Maji ya mvua

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, chunguza kampuni ya Wachina inayojenga Mtaro Mkubwa wa Maji ya mvua

Ndio maana nimemwambia aende mwenyewe

Mkuu labda nikuhoji swali dogo - hivi wewe una taaluma gani katika masuala ya ujenzi - umesema kwamba sehemu kubwa inayo husu mtaro imekwisha chimbwa - kuanzia kiwanda cha bia aina ya Serengeti mpaka Magereza ya Keko kama sikosei, urefu huo ni mkubwa sana.

Sasa kama hujui project nzima inafanya lipi la mwanzo na lipi la mwisho uwezi kuanza kulahumu kwamba Wachina hawajui walifanyalo au Wachina wanachelewesha mradi. Kumbuka Wachina wanafanya kazi kitaaluma sio kisiasa.
 
Mkuu labda nikuhoji swali dogo - hivi wewe una taaluma gani katika masuala ya ujenzi - umesema kwamba sehemu kubwa inayo husu mtaro imekwisha chimbwa - kuanzia kiwanda cha bia aina ya Serengeti mpaka Magereza ya Keko kama sikosei - kama hujui project nzima inafanya lipi la mwanzo na lipi la mwisho uwezi kuanza kulahumu kwamba Wachina hawajui walifanyalo au Wchina wanachelewesha mradi.
Hata mainjinia wanahoji huu mradi , sasa hata kama sijui lolote ni mradi gani wa ujenzi ambao unaruhusu kubomoa makazi na kuzuia barabara bila hata kazi yenyewe kufanyika , yaani hawa wanachimbua mahali halafu wanapatelekeza , mvua ikinyesha nyumba zinabomoka , huu ndio utaalam mliosomea wataalam wetu wazawa ?
 
Hata mainjinia wanahoji huu mradi , sasa hata kama sijui lolote ni mradi gani wa ujenzi ambao unaruhusu kubomoa makazi na kuzuia barabara bila hata kazi yenyewe kufanyika , yaani hawa wanachimbua mahali halafu wanapatelekeza , mvua ikinyesha nyumba zinabomoka , huu ndio utaalam mliosomea wataalam wetu wazawa ?
Mkuu, kwani hakuna msimamizi kutoka Serikalini anaye husika moja kwa moja na mradi huu? Haingii akilini kwamba mradi wa umuhimu wa pekee wanaweza kuwachia wahandisi wa Kichina kufanya wapendalo bila ya kufatiliwa na Serikali kwa karibu - hayo ndio maoni yangu.
 
Mkuu, kwani hakuna msimamizi kutoka Serikalini anaye husika moja kwa moja na mradi huu? Haingii akilini kwamba mradi wa umuhimu wa pekee wanaweza kuwachia wahandisi wa Kichina kufanya wapendalo bila ya kufatiliwa na Serikali kwa karibu - hayo ndio maoni yangu.
Swali lako hata wengine wengi wanajiuliza
 
Mkuu, kwani hakuna msimamizi kutoka Serikalini anaye husika moja kwa moja na mradi huu? Haingii akilini kwamba mradi wa umuhimu wa pekee wanaweza kuwachia wahandisi wa Kichina kufanya wapendalo bila ya kufatiliwa na Serikali kwa karibu - hayo ndio maoni yangu.
Hapo ndio mujue lip service na maneno matupu ya idara nyingine serikalini.
Kwa kweli nimemsikia Mkuu wa Wilaya Gondwe akiwalalamikia hao Wachina, utafikiri wachina wajisimamia wenyewe katika mradi bila idara yoyote ya serikali.
Pesa hiyo ya kunyamzisha watu.
 
Kuna mwenye picha ya maendeleo ya ujenzi wa BRT kuelekea mbagala airushe nataka nione palipofikia
 
Nimekuona ukipambana na Wachina wanaojenga barabara ya Mwendokasi huko Mbagala , sasa Wachina wale wa Mwendokasi wana nafuu mno kuliko hawa wanaojenga mtaro wa maji ya mvua kuanzia kule kwenye kiwanda cha bia cha Serengeti, haifahamiki walipataje kazi kubwa hivi kwa viwango vyao duni walivyoonyesha (nitachunguza)

Wachina hawa kiukweli hawaiwezi kazi waliyopewa, hebu jaribu kupita kila mahali walikopitisha mtaro wao kuanzia Chang'ombe , TCC Club, njoo kwenye Maghorofa ya nyuma ya Takukuru Temeke, njoo Keko, pita ndani ya gereza la keko, nenda hadi Keko Mwanga ujionee hasara waliyoisababisha ikiwemo vifo, usimtume mtu nenda mwenyewe ujionee, hii kampuni imesababisha nyumba za watu kubomoka kwa ujinga wao wa kuchimba mashimo makubwa na kuyatelekeza, spidi yao hata konokono ana nafuu , urefu wa mita 100 wanajenga kwa miezi 4, hivi ndivyo mlivyowaelekeza?

Hivi sasa barabara ya kwenda Gereza la Keko imefungwa kwa zaidi ya wiki 1 kutokana na kuchimba shimo kubwa ambalo wamelitelekeza, Wafungwa na Mahabusu sasa wanapitishwa vichochoroni kwa vile wachina wanalindwa, huoni hii hatari? Nimejionea mwenyewe baada ya kutaabika kufika gerezani kumuona mahabusu ndugu yangu ambaye nilitaarifiwa kwamba anaumwa.

Hatari iliyo kwenye mradi huu ni kubwa kuliko maelezo yangu, hebu DC nenda kajionee mwenyewe.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Serikali yangu inaamini HITMEN ni scheme ya ulaya magharibi pekee.

Tunapigwa kila kona kudelay uchumi wetu
 
GONDWE hawezi fuatilia yeye akili yake anawaza u RC Tu kila anachokifanya ni the kiki
But pia haya maswala , vilevile tuwasikilize wataalamu kwenye nyanja husika , Client, Engineer au contractor zaidi , kuhusu nini hasa laweza kuwa kiini cha tatizo ktk miradi , badala ya kuwaachia wanasiasa kwenda kutoa site instructions zisizo na kichwa wala miguu.. maana kwa 'layman' knowledge yangu ya conditions of contract, parties wanaohusika directly kwenye miradi ni Client, consultant (engineer) na Contractor..sasa Dc kwenda kutoa instructions kwa contractor, wapi na wapi?? Tuachie zaidi wahusika/wataalamu, wawe ndo wanatupa ukweli wa mambo na sio kuwapa wanasiasa nafasi za kutaka ' kiki' za
kisiasa...
 
But pia haya maswala , vilevile tuwasikilize wataalamu kwenye nyanja husika , Client, Engineer au contractor zaidi , kuhusu nini hasa laweza kuwa kiini cha tatizo ktk miradi , badala ya kuwaachia wanasiasa kwenda kutoa site instructions zisizo na kichwa wala miguu.. maana kwa 'layman' knowledge yangu ya conditions of contract, parties wanaohusika directly kwenye miradi ni Client, consultant (engineer) na Contractor..sasa Dc kwenda kutoa instructions kwa contractor, wapi na wapi?? Tuachie zaidi wahusika/wataalamu, wawe ndo wanatupa ukweli wa mambo na sio kuwapa wanasiasa nafasi za kutaka ' kiki' za
kisiasa...
Hawa wataalam wanaonunuliwa kama maandazi ndio unaotaka tuwaamini ?
 
Hata mainjinia wanahoji huu mradi , sasa hata kama sijui lolote ni mradi gani wa ujenzi ambao unaruhusu kubomoa makazi na kuzuia barabara bila hata kazi yenyewe kufanyika , yaani hawa wanachimbua mahali halafu wanapatelekeza , mvua ikinyesha nyumba zinabomoka , huu ndio utaalam mliosomea wataalam wetu wazawa ?

Sasa kama mainjia wa kiswahili ni wakali katika nyanja za ujenzi makini, ilikuwaje tena Serikali ikalazimika kuwapa contract Wachina na kuwatosa waswahili?
 
Sasa kama mainjia wa kiswahili ni wakali katika nyanja za ujenzi makini, ilikuwaje tena Serikali ikalazimika kuwapa contract Wachina na kuwatosa waswahili?
hili swali tujiulize mimi na wewe ?
 
Wachina waliopo hapa Tz ni kama "miungu".
Hapa Mkuranga yote,viwanda vya wachina ni hatari. Nina watu "wanasukuma" mende zangu hapo Goodwill,wanakwambia ni hatari. Hawana vibali wala nini,wanafanya Tanzania kama "Wuhan".
 
Wachina waliopo hapa Tz ni kama "miungu".
Hapa Mkuranga yote,viwanda vya wachina ni hatari. Nina watu "wanasukuma" mende zangu hapo Goodwill,wanakwambia ni hatari. Hawana vibali wala nini,wanafanya Tanzania kama "Wuhan".
Aiseeee !!
 
Nimekuona ukipambana na Wachina wanaojenga barabara ya Mwendokasi huko Mbagala , sasa Wachina wale wa Mwendokasi wana nafuu mno kuliko hawa wanaojenga mtaro wa maji ya mvua kuanzia kule kwenye kiwanda cha bia cha Serengeti, haifahamiki walipataje kazi kubwa hivi kwa viwango vyao duni walivyoonyesha (nitachunguza)

Wachina hawa kiukweli hawaiwezi kazi waliyopewa, hebu jaribu kupita kila mahali walikopitisha mtaro wao kuanzia Chang'ombe , TCC Club, njoo kwenye Maghorofa ya nyuma ya Takukuru Temeke, njoo Keko, pita ndani ya gereza la keko, nenda hadi Keko Mwanga ujionee hasara waliyoisababisha ikiwemo vifo, usimtume mtu nenda mwenyewe ujionee, hii kampuni imesababisha nyumba za watu kubomoka kwa ujinga wao wa kuchimba mashimo makubwa na kuyatelekeza, spidi yao hata konokono ana nafuu , urefu wa mita 100 wanajenga kwa miezi 4, hivi ndivyo mlivyowaelekeza?

Hivi sasa barabara ya kwenda Gereza la Keko imefungwa kwa zaidi ya wiki 1 kutokana na kuchimba shimo kubwa ambalo wamelitelekeza, Wafungwa na Mahabusu sasa wanapitishwa vichochoroni kwa vile wachina wanalindwa, huoni hii hatari? Nimejionea mwenyewe baada ya kutaabika kufika gerezani kumuona mahabusu ndugu yangu ambaye nilitaarifiwa kwamba anaumwa.

Hatari iliyo kwenye mradi huu ni kubwa kuliko maelezo yangu, hebu DC nenda kajionee mwenyewe.

NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Godwin Gondwe yuko kwenye VITA ngumu ambayo huenda aanaijua au haijui! Sinohydro wana miradi mingi mikubwa Tanzania, wana "network" kubwa sana ndio maana Wafanyakazi wanapigwa, vibarua hawalipwi kwa wakati na hakuna PPE. Labda kama Gondwe kapewa dau dogo ila kwa sisi wataalam wa mawasiliano, unaona kabisa Gondwe akiongea na mchina alikua hana confidence kabisa (mwenye dhambi huna amani), na hadi HR alikua anamcheka Godwin! Pretenders? Mwaka Jana Mlinzi wa Sinohydro aliamriwa na mchina afyatue risasi juu iki kuwatisha wanachi .....ni mengi naogopa! Ila Godwin anajua fika ngoma anayoicheza na hivyo nasiisitiza anatucheza shere mbele ya camera! JF si sehemu salama sana ila kuna uozo mkubwa sana wa kutisha kwenye makampuni yote ya Wachina. Mitano tena
 
Wachina waliopo hapa Tz ni kama "miungu".
Hapa Mkuranga yote,viwanda vya wachina ni hatari. Nina watu "wanasukuma" mende zangu hapo Goodwill,wanakwambia ni hatari. Hawana vibali wala nini,wanafanya Tanzania kama "Wuhan".
Hio ni cha mtoto ndugu! Wachina kwa Tanzania hakina wa kuwagusa. Tuna shuhuda nyingi za kutisha ila utasemea wapi? Naomba nikae kimya Nina watoto na Mimi sina hata hizo mende
Wachina huwa wanahonga sana watendaji wa serikali.
Siyo siri.
Angalia hata body language ya Godwin. Hadi HR akamcheka kwasababu anajua anafake kwa umma( huenda hahusiki) ila mafuta ya nagari yao wanajaziwa na Wachina hasa askari police. Sasa uwe na tatizo uende kwa OCD
 
Back
Top Bottom