Mkuu huyu Rostam dawa yake sio kususia huduma ya vodacom dawa yake ni kuuanika ufisadi wake hadharani na njia alizotumia ili mali zake zitaifishwe. Hiyo voda najua ameajiri mitoto mingi ya mafisadi lakini tukumbuke hata walalahoi tupo tunaojipatia kaugali kwa siku.
Unataka ushahidi wa aina gani ? Umesoma hata mtu katoa hapa jedwali kuonyesha Rostam ana share ngapi kule Vodacom ? Ina maana ni kwlei hujui kwamba RA ana share vodacom ?
Mkuu huyu Rostam dawa yake sio kususia huduma ya vodacom dawa yake ni kuuanika ufisadi wake hadharani na njia alizotumia ili mali zake zitaifishwe. Hiyo voda najua ameajiri mitoto mingi ya mafisadi lakini tukumbuke hata walalahoi tupo tunaojipatia kaugali kwa siku.
Activists Call for Boycott of Diamond Giant Leviev for Support of Israeli Settlements and Links to Human Rights Abuses in Africa
Leviev, the worlds largest cutter and polisher of diamonds, has been linked to expanding Jewish-only settlements in the Palestinian West Bank and a sketchy human rights record in Angola, where it controls the diamond supply. We speak to two Palestinian and Jewish members of Adalah-New York, a group thats held weekly protests outside Levievs Madison Avenue store.
So what are you calling for right now, Lubna Mikkel?
LUBNA MIKKEL: Well, were basically calling for a boycott of Leviev and his jewelry store and his businesses in New York City. Were basically aiming at educating and raising the awareness of New Yorkers of the human rights violations, of the wide spectrum of human rights violations that Leviev and Shaya Boymelgreen are involved in. And were calling for theirwere calling on Leviev and Shaya Boymelgreen to end their construction of the settlements immediately.
Finally, Katie Unger, on that issue of diamonds in Angola and what you are demanding of Leviev there?
KATIE UNGER: One of the things about Leviev and one of the reasons why these protests outside Leviev have caught such international attention is that they bring together atrocities around the world. And so, in addition to calling on Leviev to end his settlement construction and end his problematic building practices in New York, we are calling on Leviev to ensure human rights in his diamond [inaudible], and were supporting Angolan human rights activists who are calling for free elections and improved conditions in diamond mines there.
wakuu wangu wa hapa jamvini.
katika mapambano ni lazima kutofautiana, na katika kutofautiana kuna kuelimishana, baada ya watu kuelimishwa na kuonekana hawataki kuelimika, kama ni vitani kuna lazima au kuwaburuza mstari wa mbele. au kuwafungia ndani wasijue kinachoendelea. katika vita yetu dhidi ya ufisadi mkuu lunyungu ametupa somo murua. kuwa sasa tutumie silaha nyingine nyepesi nayo ni kususuia mafisadi kwa njia rahisi.
ni nani kati yenu atakayekataa kuwa rostam anatumia ulimbukeni wa wanasiasa wetu kujitajirisha kwa njia haramu na kwa hatari ya taifa letu.?
ni nani atabisha kuwa fisadi huyu ameshapitisha kile kiwango cha juu cha ile theory maarufu na sasa yuko pale juu kabisa anatafuta self actualization. kwa maana kwamba pesa zake hizo zifike mahali zimsadie ili awe hata mfalme wa nchi hii ili tusujudie na kumpgia magoti? pesa alizopata kwenye ufisadi.
ni nani kati yenu atakataa kuwa bila rostam na lowasa hakuna ccm? na ccm ni rostam na lowasa? na kuwa kikwete ni kama tarishi wao?
wakuu wangu kama tunaamini hayo tunayo silaha moja, silaha kama aliyotumia martin luther king, kwa kuwataka watu weusi wakasusuia mabasi ya watu weupe. na mwisho akafauku kuutokomeza ubaguzi wa rangi huko marekani kwa kiwangi kikubwa.
ni kweli kuwa tunao msururu wa kampuni za kifisadi, lakini kwa kuanznia tuanze na huyu na wengine watashtuka.
nitawaomba wakuu wengine hapa, katika ku-intesify vita hii, wanaofahamu wawaandkike pia vodafone uk, ambao wanamiliki pia vodacom kuwa vita imetangazwa, hii ni kuwaonya wanaojiita wawekezaji wanapokuja hapa nchini wawe macho na matapeli kama akina rostam
wanaosema eti tukisusia voda uchumi utaathirika wanaota ndoto za ajabu. wateja wa voda watahania mitandao mingine na huko serikali itaendelea kupata kodi yake. na wale waajiriwa wa voda itabidi wahamie kwenye kampuni nyingine za simu kwa kuwa ajira zitaongezeka sambamba na wateja wapyaa
WAKUU HAKUNA TUTAKACHOPOTEZA KATIKA HILI, BALI TUTAKUWA TUMEMPA FUNZO MAMVI NA HUYU MUAJEMI WAKE
Bwana Lunyungu.
Naona wewe bado uko usingizini kabisa. Hiyo Celtel iliiibia Kampuni yetu ya TTCL na kuanzisha ya kwao. Ilipoanzisha wakaipiga teke TTCL. Hivyo Celtel ni mali ya wizi kutoka TTCL.
Hiyo Zantel nayo hebu ichunguze vizuri. Hapa Tanzania kila kitu kina mtu wake anayekula, utakimbilia wapi penye haki? Shauri yako mjomba.
Kwa sasa our focus sisi watanzania ni pale alipo Rostam na wengine tutawatafuta taratibu .Pa kukimbilia ni TTCL ndilo hasa letu hili .Kuna ubaya gani tukienda TTCL ?
Njia nyepesi ya kufikisha ujumbe kwa wale wote ambao tuko Tanzania na tumeamua kuachana na Vodacom tuwe na fronts nyingi .Nashauri kabla hujatupa SIMcard yako basi peleka sms kwa watu hata 15 tu na wao waombe wasambaze ujumbe then tutakuwa tunachapa kazi .Kama wote wezi tuingie TTCL .
Mkuu Omutwale nimesha ona PM .Sasa naendelea na debe langu kwamba pelekeni sms kwa kasi kw akadiri mnavyo weza .Paparazi Muwazi onyesha uwazi wako kwa kuandika haya maazimio yetu iloi watanzanai waelewe tunapinga ninji tafadhali .