Mkwe anapokuwa mke


nakubaliana nawe AD. wazazi watajua namna nzuri ya kulimaliza hili bila ya bibie kujiingiza matatani sana na ma'mkwe wake!
 
hehehehe! kaa ngumu dada, huyo ni mumeo na hata mama mkwe afaa aelewe hayo. you are not there by mistake neither by chance and that you deserve total authority in any decision affecting your family. hata mumeo anafaa ajue kuwa wewe ndo mwenye boma na si vinginevyo na majukumu ya kumlea mama mkwe ni yako na si yeye hata kama ni mwanae. fungua macho mrembo na unoe kucha laa sivyo kesho kutwa utasikia mama kamshauri mwanae kuoa mke mwingine wewe hufai....chukua control haraka before it is too late. hata mimi mamangu alitaka kunicontrol jinsi nitaishi na mke wangu, nikashtuka mapema, nikakaa ngumu sasa ametii amri. heshima kwa mke wangu palepale
 
maskini halafu hali yako jinsi ilivyo tena....mh! si watakufupishia siku my dear????
 
pole sana, kaa na mumeo mueleze kwa kirefu ikibidi omba walio wazidi umri wamueleweshe.
 
Pole mpendwa hebu jaribu kuzungumza na mmeo kwa utaratibu yanayokukwaza na umwambie kabisa ahata bible inasema mwanamme ataachana na familia yake ,nae ataambatana na mkewe ,nao watakuwa mwili mmoja.. ambayo ni
Kupanga na kuamua pamoja
Maendeleo ya familia pamoja
NK NK
Huyu mama mkwe nae anatakiwa awe na hekima lol
imenisikitisha
 
nakulaumu kwa kukubali kuishi na mkwe, nijuavo mwanamke ndie kama waziri wa mambo ya ndani ktk nyumba, tell yo husbund achague moja kati yako ww au mama yake, umenikumbusha dada yangu nae alifanyiwa kama wewe, alimfungia kibwebwe na kuwasema wote akamuuliza mama mkwe wake kama anayomfanyia yeye nae alifanyiwa alipoolewa, akamwambia anaingilia ndoa yake na atamshtaki kwa padri akampaa saa 48 arudi kwao la sivo ataondoka yy na watoto. mume hakutii wala mama mkwe hakuondoka dada hakutania alichukua watoto wote akapanga nyumba pengine. mume alimrudisha mama yake akamchukua mke hadi leo wanaishi kwa amani na upendo.
kisa chako unakubali kuteseka sema na mwenzio mpe masharti asipokubali fanya maamuzi magumu ili uishi kwa amani kama kumpeleka kwa mchungaji na wazee wa kanisa weka wazi yote unayotendewa, kina dada wana tabia ya kuenga bila waume kujua ili yakitibuka kama haya wawe na pa kukimbilia nimeelewa sasa kwa nn wanafanya siri ktk kujenga,
wake up esperance usikubali kuumia take action b4 its too late,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…