Manumbu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 1,746
- 1,283
Pole sana mamake..
Kweli itakuwa ngumu kumtenganisha
Mtu na mama yake sasa.. lakini binafsi
Naona kosa liko kwa mumeo. Kwa kutoongea
Nawe au kufanya vitu bila kukujulisha wewe
Mkeo..
Mkwe ye hupata kichwa
Sababu kijana yuko upande wake.
Kusema hivyo kuna sababu ambazo
Zinawafanya mama kung'ang'ania watoto
Wao wa kiume
Lakini hii ya kuingulia nyumba **** kiasi
Hiki imezidi..
Ushauri wangu washirikishe wazazi/walezi wako
Kwenye hili wenyewe wanajua zaidi cha
Kusema na kufanya. Pole sana..
nakubaliana nawe AD. wazazi watajua namna nzuri ya kulimaliza hili bila ya bibie kujiingiza matatani sana na ma'mkwe wake!