My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
I'm on that good kush and alcohol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😝😝😝😝😝😝umekula mzee kua mkweliii...Mama ndiyo amekwambia nimekula ?
Basi amekuongopea sana ili aje peke yake huku.
Amekuongopea basi, maana nilichokula ni kile ambacho mama yako ilikinunua sokoni.😝😝😝😝😝😝umekula bwanaa kua mkweliii...
maana hueleweki unaenda mbele nakudi,
mara upate moto mara upoe,
mara uongee kiingereza mara kiswahili,
mara utukane mara ukae sawa....
hizo zote ni dalili za tembele
Wajumbe naomba mtusamehe, tunawekana sawa.
Naomba msamaha kwa niaba yake pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu, jamaa ni balaa.Hata uzi wako kagonga like wa kwanza kabisa[emoji851]
[emoji2021]Manners Maketh Man[emoji2021]
Umeona sasaaa.. ndio shida ya ile kitu, inapanda na kushuka, Sasa hivi tuu itakutuma kutukana na kiingereza,Amekuongopea basi, maana nilichokula ni kile ambacho mama yako ilikinunua sokoni.
Sasa kama mama yako anakwambia nimekula hayo matembele basi atakuwa amekula yeye.
Halafu si unayauza wewe mwenyewe ?
Mara nyingi saaana kwenye browser unaona
NakaziaUsichokijua ni kwamba huyu jamaa ni robot!
Jamani Roboti linafanya betting ???Nakazia
🤣🤣🤣🤣🤣za kunisusa ? umesababisha nimejaza simu yangu nyimbo za Mario za kulia lia
Wewe jamaa bwana....
Yaani it's just creepy......Notification za kua liked toka kwake niliziblock asee...Very annoying
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani Roboti linafanya betting ???
Nimepewa Link jamaa yuko kule kwenye uzi wa kuweka mzigo
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nimecheka kichizi kukuta jamaa analalamika kwenye ule uzi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ni mtu eeehh!
Huwa anaandika kabisaa kumbe!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka kichizi kukuta jamaa analalamika kwenye ule uzi.
Pitia post ya 121 ya Next Man utacheka.....Huwa anaandika kabisaa kumbe!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuuPitia post ya 121 ya Next Man utacheka.....