Mkwezi tungi kalitia maji lakini kaachwa

Kama kuna mtu ambaye siyo muoga ni mimi๐Ÿ˜‚
Your browser is not able to display this video.
 

Head ze goo
Kama ambavyo mchawi hapaswi kueleza wachawi wanarogaje, ndivyo ambavyo haipaswi duniani wala ahera kwa mtu wa kitengo kueleza hadharani jinsi #sanaazakiza a.k.a #darkarts zinavyofanya kazi.

Kiintelijensia, zinaitwa "sources and methods" a.k.a. "tradecraft" a.k.a "spycraft", kwa lugha nyepesi ni "the art of spying".

Huyo mzembe is learning the hard way...just because of clout. Alitaka kuonekana mtu muhimu kwa madiwani.

Ndo tatizo la kitengo kujaza watu wasiojielewa. It's a scam ๐Ÿ˜ก
 
Vilivyofanyika gizani vitakuja nuruni. Bwana atavitoa vyote!
 

Hapa we mzee peleka moto wa changanyikiwe.
 
I really am perceiving connections as overated.
I hate prospering through connections, no wonder i am spending too much time to hustle. Unasemaje Eyce mdogo angu?
 
I really am perceiving connections as overated.
I hate prospering through connections, no wonder i am spending too much time to hustle. Unasemaje Eyce mdogo angu?
Kiasi brother japo kuna time end result inatakiwa kuangaliwa kuliko process kwa sababu kama upo vizuri, kuna ubaya gani mtu akikupa exposure au recommendation ili uweze kufika unapostahili kwa uharaka kidogo ?...

Kwa sababu connection inaweza kuwa mbaya pale mtu unapoipata pasipo kuistahili fursa husika.. Lakini kama unaistahili, sidhani kama kuna ubaya mkuu especially kama upo dedicated na kazi yako brother
 
Yah sure ..kle unayostahili, ni nzuri maana licha ya kupewa ila na wewe una wekeza wajibu so it is fine
 
Hakika Giza Totoro ni ishara ya Mapambazuko
Kukichwa kutapambazuka
Judt
Kwa sababu connection inaweza kuwa mbaya pale mtu unapoipata pasipo kuistahili fursa husika.. Lakini kama unaistahili, sidhani kama kuna ubaya mkuu especially kama upo dedicated na kazi yako brother
 
Hakika Giza Totoro ni ishara ya Mapambazuko
Kukichwa kutapambazuka

Kwa sababu connection inaweza kuwa mbaya pale mtu unapoipata pasipo kuistahili fursa husika.. Lakini kama unaistahili, sidhani kama kuna ubaya mkuu especially kama upo dedicated na kazi yako brother
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ